EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Monday, February 2, 2015

HII SI SAWA! SHEHENA ZA MADAWA ZAHARIBIKA HOSPITALI, ZATUPWA JALALANI

Stori: Dunstan Shekidele, Morogoro/Ijumaa Wikienda
WAKATI wagonjwa wakifa kwa kukosa dawa hata kidonge kimoja kwenye hospitali mbalimbali nchini, katika hali ya kushangaza, shehena kubwa ya madawa katika Hospitali Rufaa ya Morogoro imeteketezwa kwa moto baada ya kuharibika kwa kupita muda wake wa matumizi, Ijumaa Wikienda linakuwa la kwanza kukujuza.
Madawa ya hospitali yakishushwa kwenye gari ili kuteketezwa.
Tukio hilo la aina yake lilitokea hivi karibuni mjini hapa ambapo paparazi wetu alitonywa kuhusiana na kuwepo kwa ishu hiyo ambapo alikwenda na kushuhudia lori lenye uzito wa tani 7 likisomba dawa hizo zilizoharibika kwa awamu nne mfululizo na kwenda kutupa katika dampo lililopo maeneo ya Kihonda-Viwandani.
Madawa yakitolewa kwenye viroba kuteketezwa.
Kwenye uteketezaji huo, mwanahabari wetu aliwashuhudia baadhi ya maafisa wa hospitali hiyo waliokuwepo kwenye dampo hilo wakitaka tukio hilo lirushwe katika vyombo vya habari lakini wengine wakakataa na kudai libaki kuwa siri.
Ilidaiwa kuwa baadhi ya maofisa waliokuwa wanataka jambo hilo liwe siri, walikuwa wakihofia kunyimwa dawa mpya na Bohari Kuu ya Taifa (MSD).
Maaskari wakisimamia zoezi hilo.
Mwanahabari wetu alipohoji sababu za baadhi ya maofisa hao kutaka kulificha tukio hilo, walimjia juu na kumtaka afute picha za tukio hilo lakini jitihada zao zikagonga mwamba kwani paparazi wetu alifanikiwa kuwatoka.
Baadhi ya dawa zilizowekwa tayari kuteketezwa.
Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo walihoji kulikoni kuwe na shehena kubwa ya madawa yaliyoharibika wakati wamekuwa wakitaabika wakiambiwa dawa hakuna mara kwa mara wanapokwenda hospitalini hapo?
Katapila likiandaa shimo kwa ajili ya kufukia madawa hayo.
Alipotafutwa Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro, Godfrey Mtei na kuhojiwa kuhusiana na tukio hilo, alikiri kutokea na kudai dawa hizo zilikuwa zimeisha muda wake wa matumizi na hakukuwa na namna yoyote zaidi ya kuziteketeza kwa moto.
“Ni utaratibu wetu, dawa zikiharibika huwa tunaziteketeza kwa moto,” alisema Mtei.ANGALIA MATUKIO MBALIMBALI YA SHEREHE YA MIAKA 10 YA THT Msanii kutoka katika Nyumba ya kukuzia Vipaji Tanzania 'THT', Barnaba Boy (kulia), akitumbuiza na msanii mchanga wa THT, kwenye sherehe za kutimiza miaka 10 ya Taasisi hiyo zilizofanyika katika Ukumbi wa Escaper One Mikocheni jijini Dar es Salaam Usiku wa kuamkia leo. Msanii wa Hip Hop Bongo, Mwana FA (kushoto), wakiimba kwa pamoja na Ali Kiba wimbo wa Kiboko yao waliyoshirikiana kwa pamoja kwenye sherehe za Mika 10 ya THT usiku wa kuamkia leo. Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe ( wa tano kutoka kushoto), akicheza na baadhi ya wasanii wa THT, muda mfupi baada ya kukaribishwa jukwaani hapo kwaajili ya kusema machache juu ya sherehe hizo. Baadhi ya mashabiki waliohudhuria kushuhudia sherehe hizo wakifuatilia kwa makini baadhi ya matukio yaliyokuwa yakijili ukumini hapo. Msanii Barnaba Boy akionyesha umalidadi wake katika kutumia Gitaa. Ben Pool akitoa burudani mahali hapo. Baadhi ya wasanii wachanga wa THT, wakiimba kwa pamoja. Amini akiimba wimbo wake mpya huku akiwa amekumbatiwa na mkewe aliyepanda jukwaani hapo baada ya kuguswa na wimbo huo na kuanza kuangua kilio. Mtangazaji wa Star TV, Sauda Mwilima (kulia), akishuhudia burudani zilizokuwa zikiendelea ukumbini hapo na Mumewe. Baadhi ya wasanii wa THT, wakiwa katika pozi nyuma ya jukwaa lililokuwa likitumika kutolea burudani ukumbini hapo. Kadja Maumivu akiimba kwa hisia kali katika jukwaa hilo. You might also like:
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwinANGALIA MATUKIO MBALIMBALI YA SHEREHE YA MIAKA 10 YA THT Msanii kutoka katika Nyumba ya kukuzia Vipaji Tanzania 'THT', Barnaba Boy (kulia), akitumbuiza na msanii mchanga wa THT, kwenye sherehe za kutimiza miaka 10 ya Taasisi hiyo zilizofanyika katika Ukumbi wa Escaper One Mikocheni jijini Dar es Salaam Usiku wa kuamkia leo. Msanii wa Hip Hop Bongo, Mwana FA (kushoto), wakiimba kwa pamoja na Ali Kiba wimbo wa Kiboko yao waliyoshirikiana kwa pamoja kwenye sherehe za Mika 10 ya THT usiku wa kuamkia leo. Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe ( wa tano kutoka kushoto), akicheza na baadhi ya wasanii wa THT, muda mfupi baada ya kukaribishwa jukwaani hapo kwaajili ya kusema machache juu ya sherehe hizo. Baadhi ya mashabiki waliohudhuria kushuhudia sherehe hizo wakifuatilia kwa makini baadhi ya matukio yaliyokuwa yakijili ukumini hapo. Msanii Barnaba Boy akionyesha umalidadi wake katika kutumia Gitaa. Ben Pool akitoa burudani mahali hapo. Baadhi ya wasanii wachanga wa THT, wakiimba kwa pamoja. Amini akiimba wimbo wake mpya huku akiwa amekumbatiwa na mkewe aliyepanda jukwaani hapo baada ya kuguswa na wimbo huo na kuanza kuangua kilio. Mtangazaji wa Star TV, Sauda Mwilima (kulia), akishuhudia burudani zilizokuwa zikiendelea ukumbini hapo na Mumewe. Baadhi ya wasanii wa THT, wakiwa katika pozi nyuma ya jukwaa lililokuwa likitumika kutolea burudani ukumbini hapo. Kadja Maumivu akiimba kwa hisia kali katika jukwaa hilo.
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin  Msanii kutoka katika Nyumba ya kukuzia Vipaji Tanzania 'THT', Barnaba Boy (kulia), akitumbuiza na msanii mchanga wa THT, kwenye sherehe za kutimiza miaka 10 ya Taasisi hiyo zilizofanyika katika Ukumbi wa Escaper One Mikocheni jijini Dar es Salaam Usiku wa kuamkia leo. Msanii wa Hip Hop Bongo, Mwana FA (kushoto), wakiimba kwa pamoja na Ali Kiba wimbo wa Kiboko yao waliyoshirikiana kwa pamoja kwenye sherehe za Mika 10 ya THT usiku wa kuamkia leo. Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe ( wa tano kutoka kushoto), akicheza na baadhi ya wasanii wa THT, muda mfupi baada ya kukaribishwa jukwaani hapo kwaajili ya kusema machache juu ya sherehe hizo. Baadhi ya mashabiki waliohudhuria kushuhudia sherehe hizo wakifuatilia kwa makini baadhi ya matukio yaliyokuwa yakijili ukumini hapo. Msanii Barnaba Boy akionyesha umalidadi wake katika kutumia Gitaa. Ben Pool akitoa burudani mahali hapo. Baadhi ya wasanii wachanga wa THT, wakiimba kwa pamoja. Amini akiimba wimbo wake mpya huku akiwa amekumbatiwa na mkewe aliyepanda jukwaani hapo baada ya kuguswa na wimbo huo na kuanza kuangua kilio. Mtangazaji wa Star TV, Sauda Mwilima (kulia), akishuhudia burudani zilizokuwa zikiendelea ukumbini hapo na Mumewe. Baadhi ya wasanii wa THT, wakiwa katika pozi nyuma ya jukwaa lililokuwa likitumika kutolea burudani ukumbini hapo. Kadja Maumivu akiimba kwa hisia kali katika jukwaa hilo. You might also like: ALAEN LAUGHTON,MOHOMBI NZASI WAPO NCHINI TAYARI KWA SHOO YA ... KENYA YASHAMBULIWA TENA NA AL-SHABAB BATULI AJIWEKA KWA CHIEF KIUMBE KONYAGI YAGAWA VIFAA VYA KISASA VYA KUHIFADHIA TAKA RAIS JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA RAIS MSTAAFU WA MSUMBIJI, ... Linkwithin Posted by Musa Shigela at 4:11 AM Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest Newer Post Older Post Home Subscribe to: Post Comments (Atom) POSTED TITLE Related Posts Plugin for WordPress, Blogger... TANZANIA ONE - MUSA MATEJA View my complete profile Search
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin  Msanii kutoka katika Nyumba ya kukuzia Vipaji Tanzania 'THT', Barnaba Boy (kulia), akitumbuiza na msanii mchanga wa THT, kwenye sherehe za kutimiza miaka 10 ya Taasisi hiyo zilizofanyika katika Ukumbi wa Escaper One Mikocheni jijini Dar es Salaam Usiku wa kuamkia leo. Msanii wa Hip Hop Bongo, Mwana FA (kushoto), wakiimba kwa pamoja na Ali Kiba wimbo wa Kiboko yao waliyoshirikiana kwa pamoja kwenye sherehe za Mika 10 ya THT usiku wa kuamkia leo. Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe ( wa tano kutoka kushoto), akicheza na baadhi ya wasanii wa THT, muda mfupi baada ya kukaribishwa jukwaani hapo kwaajili ya kusema machache juu ya sherehe hizo. Baadhi ya mashabiki waliohudhuria kushuhudia sherehe hizo wakifuatilia kwa makini baadhi ya matukio yaliyokuwa yakijili ukumini hapo. Msanii Barnaba Boy akionyesha umalidadi wake katika kutumia Gitaa. Ben Pool akitoa burudani mahali hapo. Baadhi ya wasanii wachanga wa THT, wakiimba kwa pamoja. Amini akiimba wimbo wake mpya huku akiwa amekumbatiwa na mkewe aliyepanda jukwaani hapo baada ya kuguswa na wimbo huo na kuanza kuangua kilio. Mtangazaji wa Star TV, Sauda Mwilima (kulia), akishuhudia burudani zilizokuwa zikiendelea ukumbini hapo na Mumewe. Baadhi ya wasanii wa THT, wakiwa katika pozi nyuma ya jukwaa lililokuwa likitumika kutolea burudani ukumbini hapo. Kadja Maumivu akiimba kwa hisia kali katika jukwaa hilo. You might also like: ALAEN LAUGHTON,MOHOMBI NZASI WAPO NCHINI TAYARI KWA SHOO YA ... KENYA YASHAMBULIWA TENA NA AL-SHABAB BATULI AJIWEKA KWA CHIEF KIUMBE KONYAGI YAGAWA VIFAA VYA KISASA VYA KUHIFADHIA TAKA RAIS JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA RAIS MSTAAFU WA MSUMBIJI, ... Linkwithin Posted by Musa Shigela at 4:11 AM Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest Newer Post Older Post Home Subscribe to: Post Comments (Atom) POSTED TITLE Related Posts Plugin for WordPress, Blogger... TANZANIA ONE - MUSA MATEJA View my complete profile Search

Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate