EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Monday, April 13, 2015

AIBU JAMANI! MUME ANASA PICHA CHAFU ZA MKEWE NA MSANII WA BONGO MOVIE

MAMA Fanueliii! Mwanamke Elgiva Winyaeli Munisi ‘Manka’, mkazi wa Kijitonyama, Dar, amejikuta katika wakati mgumu baada ya mumewe, Alpha kudaiwa kuzinasa picha za utupu akiwa na mchepuko uliofahamika kwa jina la Crama Lucas ambaye ni msanii wa Bongo Muvi
Elgiva Winyaeli Munisi ‘Manka’ na mchepuko wake Crama Lucas ambaye ni msanii wa Bongo Muvi, wakipozi kimahaba.
Chanzo makini kimeliambia gazeti hili kwamba, awali, mwanaume huyo alizibamba picha chafu za mwanaume peke yake zikiwa kwenye laptop ya mkewe ambapo alipomuuliza alijitetea si zake ni za rafiki yake alimtumia yeye kupitia Mtandao wa WhatsApp.
MUME AJIONGEZA
Iliendelea kudaiwa kuwa, mume alimuuliza rafiki aliyetajwa ambapo awali alikataa kumtumia picha hizo Manka, lakini baadaye alikiri jambo ambalo mume alijiongeza akiamini lilipangwa.
MACHALE YAMCHEZA
Ilidaiwa kuwa, mume alimkalisha mkewe na kumwambia alichofanya ni kosa kubwa katika ndoa, mambo yakaisha.
Chanzo kilitiririka: “Lakini mume akawa bado machale kama yanamcheza kwani aliingiwa na wasiwasi mkubwa kuamini kuwa, mkewe anaweza kuhifadhi picha chafu za mwanaume kwenye laptop.
“Siku moja, mumewe alikwenda kwenye stationery (duka la vifaa vya kuandikia) inayomilikiwa ya dada yake Manka (jina tunalo) maeneo ya Sinza-Mori (Dar).
“Alipofika aliwauliza wafanyakazi kwamba mkewe akienda pale hukaa kwenye kompyuta gani! Wakamwonesha, akakaa, akasachi jina la mkewe likatokea folda lenye picha kibao za mkewe huyo akiwa na Crama tena kwenye mapozi ya kimahaba.

MUME APAGAWA
“Palepale mume alipagawa, kidogo presha imshike. Alimpigia simu mkewe akamuita aje pale alipo lakini mke alisema ana kazi nyingi nyumbani hawezi kutoka. Mume alitoka hadi nyumbani kwake na kumuuliza mke wake kuhusu picha hizo, mke akadai mwanaume huyo ni mteja wake wa mashuka! Mh!
“Hasira zilimpanda mwanaume, mteja gani wa mashuka hadi kupiga picha? Alimpiga mkewe hadi kumpasua sehemu ya paji la uso na kumchomea nguo moto. Mke akakimbilia Kituo cha Polisi Kijitonyama ‘Mabatini’, Dar kushitaki lakini baadaye alifuta kesi.” 
MUME ASAKWA
Baada ya madai hayo, Ijumaa Wikienda lilimsaka Alpha, alipopatikana alikiri kuwepo kwa mgogoro kati yake na mkewe chanzo kikiwa ni hizo picha chafu alizopiga mkewe na zile alizopiga akiwa na mwanaume anayedaiwa kuwa ndiye mchepuko wake.
“Awali, nilizifuma picha za utupu za mwanaume nikaamua kumpeleka mke wangu kwao akapumzike lakini wazazi wake walimuonya, akarudi tukawa tunaendelea na maisha, sasa sijui amekumbwa na nini mpaka leo hii akatoka nje ya ndoa wakati mimi nipo na ukizingatia ni mtu ambaye nimetoka naye mbali.
“Mpaka nazikuta hizi picha sikuamini kabisa kama mke wangu anaweza kunifanyia hivi. Sijui walipigaje kwanza, lakini niliumia sana nikaamua kumpiga mpaka akachananika usoni na nilimchomea nguo zake zote kwa sababu nilikuwa nina hasira.”
MUME BADO
 “Tangu siku hiyo mke wangu aliondoka nyumbani, mpaka sasa hivi anaishi kwa dada yake lakini kila nikimuomba arudi nyumbani anakataa na kudai kuwa anaogopa nitampiga, ila nilishaongea na yule mwanaume na nikamtaka tuonane akaniambia hawezi kuonana na mimi.
“Pamoja na yote, bado ninampenda mke wangu kwani sitarajii kufunga ndoa na mwanamke mwingine,” alisema Alpha.
Kuhusu uhai wa nyumba yao, Alpha alisema alifunga ndoa na Manka mwaka 2009 katika Kanisa la Anglikana Chimuli, Dodoma.
CRAMA ASAKWA
 Kwa upande wake, Crama alipotafufwa kwa simu na gazeti hili kuhusu madai hayo, alisema:
“Mimi na Manka tunafahamiana kwa muda mrefu tena ni rafiki yangu kwa sababu tulifahamiana kupitia Mtandao wa Kijamii wa Instagram na alikuwa akinikopesha mashuka.
“Alikuwa anakuja sana nyumbani kwangu kudai madeni yake lakini yeye mwenyewe ndiyo alikuwa akinishinikiza tupige picha tena kwa kutumia simu yake.
 “Sikujua kama ni mke wa mtu wala yeye mwenyewe hakuwahi kuniambia kama ameolewa na wala hakuwa na pete ya ndoa, ila nilishawahi kumwambia kuwa picha tunazopiga zisije zikazua balaa baadaye, hakuonesha mshtuko.
“Niliwahi kupigiwa simu na mume wake akidai kuwa nilikuwa nikimuibia mke wake, kumbe si kweli kwa sababu Manka mwenyewe anamfahamu mchumba wangu.”
HUYU HAPA MANKA
Manka alipotafutwa juzi kujibu tuhuma hizo kupitia simu yake ya mkononi alidai kuwa hawezi kuzungumzia suala hilo kwa muda huo mpaka atakapojipanga:
“Siwezi kuliongelea hilo sasa hivi mpaka pale nitakapojipanga na kujua hizo picha zimefikaje hapo ofisini kwenu.”
CHANZO: GPL

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate