Picha
 ya pamoja ya baadhi ya makapuni binafsi waliopewa tuzo bora za 
viwango,kutoka shoto ni Bi.Dorothy Mashamsham kutoka kampuni ya Mafuta 
ya PetrolFuel,Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One Bi Joyce 
Mhaville,Mkurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi Clouds Media Group Bwa.Ruge
 Mutahaba,Meneja Masoko Bwa. Elisa Ernest kutoka kampuni ya bima ya 
Alliance Insurance.
 Mkuu
 wa Kitengo cha Idara ya Uchambuzi wa viwango Afrika Mashariki,Bwana 
Jawad Jaffer akiwa na baadhi ya viongozi wa juu wa kampuni ya Clouds 
Media Group,kutoka kulia ni Mkuu vipindi wa Clouds FM Sebastian 
Maganga,wa tatu ni Mkurugenzi wa vipindi na Uzalishaji Ruge Mutahaba na 
Mkuu wa kitengo cha huduma,Promosheni na Tamasha Clouds Media Group.Bi 
Fauzia Kullane. 
 Mkuu
 wa Kitengo cha Idara ya Uchambuzi wa viwango Afrika Mashariki,Bwana 
Jawad Jaffer akimkabidhi tuzo bora ya viwango Mkurugenzi wa Uzalishaji 
na vipindi wa Clouds Media Group,Bwa. Ruge Mutahaba,kwenye hafla fupi ya
 utoaji tuzo bora za viwango hizo 
iliyofanyika ndani ya hotel ya Hyatt Regency jijini Dar.
 Mkurugenzi
 wa Uzalishaji na Vipindi Clouds Media Group,Ruge Mutahaba akizungumza jambo  na Mkuu 
wa Kitengo cha Idara ya Uchambuzi wa viwango Afrika Mashariki,Bwana 
Jawad Jaffer.
 Mkurugenzi
 wa Uzalishaji na vipindi wa Clouds Media Group,Bwa. Ruge Mutahaba akiishukuru taasisi
 ya SUPERBRAND East Africa mbele ya wageni waalikwa na waaandishi wa 
habari kwa kutambua ubora wa kituo cha redio hiyo na kuipa tuzo bora za 
viwango katika Afrika Mashariki kwenye hafla fupi ya utoaji tuzo hizo 
iliyofanyika ndani ya hotel ya Hyatt Regency jijini Dar. 
 Baadhi
 ya Wageni waalikwa na wanahabari wakifuatilia jambo kabla ya utoaji 
tuzo bora za viwanga a.k.a SUPERBRAND kwa makampuni binafis nchini 
Tanzania.
Mkurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi kutoka Clouds Media Group,Ruge Mutahaba akiwa amepozi na Mtangazaji wa ITV Bwa.Godwin Gondwe
KAMPUNI ya Clouds Media Group imeendelea kuwa kinara kwa ubora wa SuperBrand kwa mara ya tatu katika nchi za Afrika Mashariki.
Mkuu wa Kitengo cha Idara ya Uchambuzi wa Viwango Afrika Mashariki,Jawad Jaffer amesema kuwa matokeo ya utafiti huo ulizingatia maoni ya watalaam wazoefu wa masoko na walengwa wa huduma za bidhaa ambao wanahaki ya kuamua aina ya haki ya viwango bora vya superbrands na kupongeza makampuni ambayo yamefanikiwa kuingia 20 bora.
Utafiti
 huo umefanywa na idara ya uchambuzi wa viwango  makao makuu nchini  
Uingereza kutokana na kuzingatia ushauri wa wataalam wa masoko  na maoni
 ya watumiaji bidhaa zaidi ya 600 wa huduma hizo.
Amesema
 kampuni nyingi zilizoingia katika ubora wa superbrands ni 1000 
zikapambanishwa na kufanya kampuni 20 ziingie katika ubora superbrands 
na kufanya kampuni Clouds Media Group kuendelea kushikiria nafasi ya 
jsu  kwa mwaka wa 2015 -2016.
 
 
 
 
 
 
 







 
No comments:
Post a Comment