EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Wednesday, April 15, 2015

MKE AANGUA KILIO KANISANI MUMEWE AKIFUNGA NDOA YA PILI

DHAMBI? Neema Pangani, mkazi wa jijini Dar alijikuta akiangua kilio kanisani wakati mumewe Daniel Mhina alipokuwa anamuoa mke wa pili, Irene Lema, Risasi Mchanganyiko lina stori kamili.
Neema Pangani, akilia baada ya mumewe kuoa mke wa pili.
Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita katika Kanisa la Evangelistic Assemblies of God (EAGT) Bonde la Baraka lililopo maeneo ya Alimaua Kijitonyama jijini Dar, ambapo Mchungaji Kiongozi  Asheri Mwaisunga ndiye aliyebariki ndoa hiyo.
Wakati ndoa inafungwa katika kanisa hilo, mke halali wa Daniel, Neema ambaye naye ni muumini wa kanisa hilo, aliamua kutoka nje na kuangua kilio. “Ndoa yangu na Daniel tulifunga Desemba 15, mwaka 1991 katika Kanisa la Evangelistic Assembies of God Tanzania (EAGT), Uzuri Manzese jijini Dar ambapo mchungaji Asheri Mwaisunga (huyohuyo aliyefungisha ya pili) ndiye aliyefungisha ndoa hiyo.
Mume akisaini hati ya ndoa.
“Wakati naposwa na mume wangu Daniel nilikuwa tayari nina mtoto ambaye nilikuwa nimezaa na mwanaume mwingine lakini nikasikia kuna mama alikuwa anataka Daniel amuoe ndugu yake, nikamuuliza mume wangu akasema hapendi kupangiwa mtu wa kumuoa kwa sababu ndoa ni ya watu wawili na mimi ndiye nilikuwa chaguo lake,” alisema Neema na kuzidi  kumwaga maelezo kuwa, mchungaji huyo aliposikia matatizo yao, alimshauri Daniel atafute mwanamke mwingine akidai yeye hana kizazi.

Kwa upande wake Daniel, alijitetea kuwa yeye amefunga ndoa ya bomani Ijumaa iliyopita na pale kanisani alikuwa akibariki na amefanya hivyo baada ya kugundua mke wake ana matatizo.
Mke akisaini hati ya ndoa.
“Ni kweli nimefunga ndoa lakini ni ya bomani na nilitoa tangazo siku 21 kabla, hakukuwa na kipingamizi chochote na pale kanisani juzi nilikuwa ninabariki ili nipate baraka kutoka kwa mchungaji wangu ambaye nilimuomba baada ya kuona kwamba mimi ni muumini mzuri,” alisema na kusisitiza mkewe huyo wa zamani alikuwa na matatizo.
Cheti cha ndoa ya kwanza.
Mchungaji Asheri Mwaisunga alipotafutwa kwa njia ya simu alijitetea na kudai kuwa yeye hakufungisha ndoa hiyo ila alikuwa akiibariki baada ya kufungwa bomani: “Mimi sikufungisha hiyo ndoa kwani tayari walishafungishwa na Mkuu wa Wilaya na baada ya pale ndiyo wakaja kanisani kwa ajili ya kubarikiwa, mkitaka vielelezo kamili kuhusu hilo nendeni kule mtapata.”
Hata hivyo gazeti hili lilinasa picha za Daniel akionekana kusaini cheti cha ndoa kanisani hapo licha ya mchungaji na Daniel kudai pale walikwenda kubariki.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate