EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Friday, April 17, 2015

RAFIKI WA LULU ANASWA NA UNGA!


Mwandishi wetu
Jamaa ambaye inasemekana ni rafiki wa karibu wa staa mkubwa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ aitwaye Morris Sekwao ‘Junior’ inadaiwa amepata msala ‘hevi’ baada ya kutiwa mbaroni nchini Nigeria akituhumiwa kunaswa na madawa ya kulevya ‘unga’.Habari kutoka kwa mtu wa karibu wa familia ya Junior zilidai kuwa, jamaa huyo alipatwa na mkasa huo hivi karibuni nchini humo ambapo alikuwa akitokea Bongo na mzigo huo.
Morris Sekwao ‘Junior’ akiwa na sanduku la madawa ya kulevya aina ya Ephedrine alilokutwa nalo.
AKAMATWA UWANJA WA NDEGE NA KILO 25
Chanzo hicho kilidai kwamba Junior alikamatwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Murtala Muhammed (MMIA) uliopo Ikeja, Lagos nchini Nigeria, akiwa na madawa hayo aina ya Ephedrine yenye uzito wa kilo 25.Ilidaiwa kwamba Junior ambaye ni rafiki wa mastaa mbalimbali Bongo, alidakwa na polisi wa uhamiaji uwanjani hapo baada ya kutilia shaka begi kubwa alilokuwa amelibeba.
NI BEGI ZIMA
Ilidaiwa kwamba, baada ya ukaguzi alikutwa na begi zima la unga wenye ujazo huo wa kilo 25 ambao thamani yake haikuwekwa wazi mara moja.
KAMA MASOGANGE
Chanzo hicho kilizidi kumwaga ‘ubuyu’ kwamba aina ya madawa aliyokamatwa nayo ni kama yale aliyokamatwa nayo video queen wa Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’ nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ mwaka 2013.
Morris Sekwao akiwa na Lulu.
BOSI YULEYULE
Madai mazito yalishushwa kwamba ‘doni’ aliyembebesha mzigo (aliyemfanya punda) Junior ndiye yuleyule aliyedaiwa kumbebesha Masogange.Ilisemekana kuwa baada ya kukamatwa, uchunguzi wa kipolisi unaendelea nchini humo ambapo kwa sheria za Nigeria, jamaa huyo akikutwa na hatia anaweza kwenda jela miaka kadhaa.
NDUGU WAHAHA
Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kwamba kukamatwa kwa Junior kumewashtua baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki zake kwa kuwa hawakuwa wanajua kama ndugu yao huyo anafanya kazi hiyo.
KAMANDA NZOWA AFIKISHIWA TAARIFA
Kamanda wa Kikosi cha Kupambana Dawa za Kulevya Bongo, Godfrey Nzowa alipoulizwa juu ya taarifa za kukamatwa kwa kijana huyo alisema hajazipata lakini aliahidi kufuatilia ili kupata undani wake.
Kamanda wa Kikosi cha Kupambana Dawa za Kulevya Bongo, Godfrey Nzowa.
KUHUSU JUNIOR
Habari zilizo kwenye makabrasha ya gazeti hili zinaeleza kuwa Junior ni mtoto wa mjini ambaye mara nyingi hupenda kuambatana na wasanii mbalimbali Bongo ambapo mara nyingine husafiri nao nje ya nchi bila kujulikana anapiga dili gani.
NDIYE ALIYEMKIMBIZA LULU USIKU WA KIFO CHA KANUMBA?
Ilidaiwa kwamba usiku wa kuamkia Aprili 7, 2012 ambapo ndiyo siku kilitokea kifo cha aliyekuwa mwigizaji mkubwa Bongo, marehemu Steven Kanumba, Junior ndiye aliyedaiwa kumkimbiza Lulu kutoka nyumbani kwa Kanumba na kwenda naye kwenye Ufukwe wa Coco kabla ya kukamatwa alfajiri yake maeneo ya Bamaga-Mwenge jijini Dar.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate