STAA wa michezo ya nusu utupu, Angela Renée White ‘Blac Chyna’ amefanyiwa upasuaji wa sura na kufanana na mwanamitindo, Kylie Jenner.

“Mwanzoni Kylie alikuwa akitaka afanane kama Blac Chyna lakini imekuwa kinyume kwani Blac alilisikia hilo na kuanza kufanya yeye upasuaji ili afanane na Kylie,” kilisema chanzo.
No comments:
Post a Comment