EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Monday, June 8, 2015

IMEFICHUKA: JOKATE ATAKA KUJIUA!

Brighton Masalu
Imefichuka! Sexy lady mtafutaji anayejishughulisha na fani lukuki ikiwemo urembo na muziki, Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’ kwa mara ya kwanza ameweka wazi kwamba alitaka kunywa sumu kisa kikiwa ni kuumizwa kimapenzi na mwanaume aliyempenda kupindukia, aya zifuatazo zimesheheni.
Sexy lady mtafutaji anayejishughulisha na fani lukuki ikiwemo urembo na muziki, Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’,
MBELE YA GAZETI HILI
Akizungumza katika spesho intavyu na gazeti namba moja la mastaa Bongo, Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Jokate au Jojo alifunguka kwamba, japokuwa haikujulikana kwa watu wa nje kutokana na usiri mkubwa uliofanywa na ndugu zake, akiwemo mama mzazi, lakini ameona ni vyema akaweka wazi ili watu wajifunze namna ambavyo mapenzi yanaweza kuharibu mustakabali mzima wa maisha ya mtu.

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
KWANI JOKATE ALIWAHI KUTOKA NA NANI?
Jokate ambaye amewahi kutajwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mastaa mbalimbali Bongo wakiwemo staa wa mpira wa kikapu ambaye ni Mbongo anayekipiga nchini Marekani, Hasheem Thabeet Manka, wanamuziki, Ali Saleh Kiba, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Mtangazaji Millard Ayo wa Clouds FM, alisema hakuona sababu ya kuendelea kuishi bila mwanaume huyo na kuona njia pekee ni kujitoa uhai!
Hasheem Thabeet Manka katika pozi na Jokate.
AKIRI KUJIFUNGIA NDANI
Katika mahojiano hayo yaliyochukua takriban dakika 30, Jokate alikiri kujifungia ndani mara kwa mara na kujaribu kunywa sumu lakini alikuwa akishtukiwa na ndugu zake hivyo kushindwa kutekeleza zoezi hilo.
Jokate akiwa katika pozi na Millard Ayo.
USHAURI WA KISAIKOLOJIA
Alisema kufuatia hali hiyo, ilibidi awe chini ya uangalizi maalum, huku akiwa anaishi kama mfungwa na mara nyingi akipewa ushauri wa kisaikolojia na baadaye kujikuta akimfuta mwanaume huyo moyoni.
Staa wa Bongo fleva, Ali Kiba.
“Wewe acha tu, hakuna kitu kinachouma kama mapenzi, niliumia mno, ilikuwa mbaya mno kwangu kwani nilitaka kujiua baada ya kuona kabisa siwezi kuishi bila huyo mwanaume kwa sababu nilimpenda sana tena sana.
KHA! AJARIBU KUNYWA SUMU!
“Nilijaribu kunywa sumu mara kadhaa lakini nilikuwa naokolewa na ndugu zangu, nashukuru nilipewa uangalizi maalum kutoka kwa ndugu.
“Unajua ukiniona huwezi kujua kama huwa naumizwa na mapenzi kwa sababu mimi ni msiri sana kwa mambo yangu binafsi kama hayo,” alisema Jokate akionekana ni mtu ambaye akipenda huwa anapenda kweli na kuongeza:
Jokate Mwegelo.
“Lakini baadaye nilitafutiwa mtaalam wa saikolojia, akanipa ushauri, nikajikuta nimemuondoa kabisa huyo mtu moyoni mwangu, nikaelekeza nguvu zote kwenye kazi zangu za mitindo kupitia nembo yangu ya Kidoti.”
Ijumaa Wikienda: Je, ni Millard Ayo?
Jokate: Hapana lakini Millard ni mtu ambaye napenda anavyojituma kwenye kazi yake ndiyo maana ni mtu wangu wa karibu.
Ijumaa Wikienda: Je, Ni Diamond?
Jokate: Oooh…nooo!
Ijumaa Wikienda: Basi atakuwa ni Kiba au?
Jokate: Hapana, Kiba ni mtu wangu wa kikazi, napenda kuwa naye karibu kwani najifunza vitu vingi kwake kuhusu muziki.
Ijumaa Wikienda: Au ni Hasheem Thabeet?
Jokate: Teh…Tehee…Teheee…Ijumaa Wikienda bwana!
Ijumaa Wikienda: Basi acha tujiongeze.
Jokate: Ndiyo jiongezeni lakini ni kweli siwezi kumsahau maana aliniachia msiba mzito moyoni.
TUJIKUMBUSHE
Jokate na Hasheem waliwahi kuripotiwa kuwa katika uhusiano ‘siriaz’ huku minong’ono ya kufunga ndoa ikisambaa lakini ghafla shetani alikunjua makucha na kuikwaruza mipango hiyo huku Hasheem akituhumiwa kuibuka Bongo na mtoto ‘shombeshombe beibi’ kutoka ardhi ya Rais Barack Obama.
Kujua mengi zaidi tembelea www.globaltvtz.com

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate