EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Tuesday, June 26, 2012

Mgomo wa Walimu wazidi kusambaa

                  Rais wa Chama cha Walimu nchini Tanzania (CWT) Bw.Gratian Mukoba
Wimbi la mgomo wa walimu limeendela kutandaa katika mikoa ya Kanda ya Ziwa na sasa mkoa mpya wa Simiyu baada ya Chama Cha Walimu (CWT), wilayani Bariadi kuanza kutoa elimu ya jinsi ya kupiga kura ya kuafiki au kukataa kwa kujaza fomu namba moja inayokusudia kuwepo kwa mgomo huo mapema mwezi ujao.

Mwenyekiti wa CWT Wilaya ya Bariadi, Julius Mategemeo, jana aliiambia NIPASHE mjini Bariadi kuwa elimu ya jinsi ya kujaza fomu hizo maalum inatolewa baada ya kusambazwa kwa fomu namba moja kwa walimu wote katika shule za msingi, sekondari, vyuo na taasisi wilayani humo.

Mwenyekiti huyo alisema upigaji wa kura unalenga kuishinikiza serikali kutimiza ahadi yake na kuitaka iwaongeze mishahara walimu kwa mwezi kwa asilimia 100 na itoe posho ya kufundishia kwa walimu wanaofundisha masomo ya Sayansi kwa asilimia 55 na walimu wa masomo ya Sanaa kwa asilimia 50.

Pia kura hiyo ni pamoja na kuitka serikali itoe posho ya mazingira magumu kwa walimu wanaofanya kazi kwenye wilaya zenye mazingira magumu kwa mwezi kwa kiwango cha asilimi 30.

Katibu wa CWT Wilaya ya Bariadi, Posian Gervas, alisema Mratibu na Msimamzi wa zoezi la upigaji kura ni Mwakilishi wa Chama cha Walimu Tanzania katika shule, chuo au taasisi.

Aidha, Gervas amehimiza walimu kujitokeza kwa wingi kushiriki zoezi hilo na kupiga kura zao za siri kuafiki au kutaa kuwepo kwa mgomo huo.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Bariadi, Deogratius Hella, akizungumzia utekelezaji wa madai mbalimbali ya walimu hao, alisema katika barua yenye kumbukumbu namba E.10/34/Vol.III/10 ya Mei 29 mwaka huu alifafanua kuwa walimu 367 wa shule za msingi na 118 wa sekondari walirekebishiwa mishahara yao na kubakia 164.

Mgomo huo wa walimu unatarajiwa kuanza mwezi ujao na utahusisha walimu nchi nzima.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate