EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Wednesday, July 18, 2012

MABINGWA WA COPA COCA COLA WAPOKELEWA MKOANI MORO, WAFANYIWA SHEREHE


Mabingwa wa Copa Coca Cola wakiwa na kombe lao wakati wa mapokezi hayo.

Msafara wa mabingwa hao ukiwa katikati ya mji wa Morogoro.

Kikosi cha mabingwa wa Copa Coca Cola kikiwa katika pozi.
Vijana wa Moro wakiingia katika ukumbi wa 'The Highlands' kwa ajili ya sherehe.
Diwani wa Kata ya Kilakala, Ribbon Mkali 'Okwi' akimkaribisha mbunge wa jimbo la Morogoro, Aziz Abood  (kushoto) katika sherehe hizo.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera (kushoto) akipokewa na Diwani wa Kata ya Kilakala, Ribbon Mkali' Okwi' ambaye sherehe hizo zilifanyika katika kata yake.
Nahodha wa timu ya Vijana ya mkoa wa Morogoro, Hassan Juma akimkabidhi kombe la ubingwa wa mashindano hayo Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera.
 Joel Bendera akiwa na kombe hilo baada ya kukabidhiwa na vijana wake waliomtoa kimasomaso kwenye michuano hiyo iliyoshirikisha mikoa yote ya Tanzania.
Mfungaji Bora wa michuano hiyo kwa mwaka huu akiwa ametupia mabao10, Mutelemwa Albogast Katunzi (kulia) akiwa na Mchezaji Bora wa mwaka huu pia kutoka Morogoro, Shiza Kichuya wakipongezwa.
Katibu msaidizi wa chama cha soka mkoa wa Morogoro, Emmanuel Kimbawala akimtambulisha mchezaji bora wa michuano hiyo kwa mwaka jana, Miraji Adam Seleman 'TATA' . Miraji hakukuwemo kwenye kikosi cha mwaka huu kutokana na kuchaguliwa timu ya taifa ya vijana 'Serengeti Boys'.
Wachezaji wa timu ya Taifa ya Serengeti Boys ambao wametokea timu hiyo ya Morogoro, Basil Seif  (kulia) na Miraji Adam Seleman wakishirki kwenye sherehe hizo na wenzao. Mwaka jana Morogoro ilishika nafasi ya pili wakati Kigoma ikiibuka mabingwa.
Joel Bendera akimpongeza kocha mkuu wa timu hiyo, Mecky Mexime kwa kazi kubwa aliyoifanya.
---
MABINGWA wapya wa michuano la Copa Coca Cola, vijana wa mji kasoro bahari 'Morogoro' jana jioni walipokelewa kwa shangwe na kufananishwa na timu ya taifa ya Hispania kwa uchezaji wao mpaka mapokezi. 
Vijana hao waliibuka kidedea katika mashindano ya Copa Coca Cola 2012 yaliyomalizika mwishoni mwa wiki iliyopita jijijni Dar es Salaam kwa kuinyuka Mwanza kwa bao 1-0 kwenye mchezo wa fainali uliokuwa mkali na wakuvutia.
Baada ya mapokezi hayo, washindi hao walifanyiwa sherehe kwenye ukumbi wa mpya wa kisasa wa 'The Highlands' uliopo katika milima ya Ulugulu.
(PICHA ZOTE NA DUNSTAN SHEKIDELE/GPL, MOROGORO)

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate