MSANII MOHAMED NICE 'MTUNISI' AKIZUNGUMZA JINSI WALIVYOKAMATA MZIGO FEKI WA KAZI ZAO KWA KUSHIRIKIANA NA KAMPUNI YA STEPS ENTETAINMET YA JIJINI DAR ES SALAAM INAYOSAMBAZA KAZI ZA WASANII NCHINI |
MTUHUMIWA WA KURUDUFU KAZI ZA WASANII AKIWA CHINI YA ULINZI BAADA YA KUKAMATWA |
MSANII MOHAMED 'NICE' AKILIA KWA UCHUNGU BAADA YA KUKUTA KAZI ZAO ZIKIUZWA KATIKA MOJA YA DUKA MTAA WA MAGILA NA LIKOMA KARIAKOO SIKU YA JANA |
Moja ya gari lililokuwa limejaa kazi feki za wasanii |
Baazi ya watu wakiwa wamezagaa kushudia ukamatwaji wa kazi za wasanii mtaa wa Magili na Likoma Dar es salaam siku ya jana |
Baadhi ya wasanii pamoja na askari polisi wakiwa wamerizingira duka lililokuwa linauza kazi feki |
Gari lenye namba za T 608 BWD lililokamatwa na kazi mbalimbali za wasanii zikiwemo zinazosambazwa na Kampuni ya Steps ya jijini Dar es salaam |
BAADHI YA KAZI FEKI ZA WASANII ZILIZOKAMATWASIKU YA JANA PICHA NA:www.burudan.blogsports.com |
No comments:
Post a Comment