EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Monday, September 24, 2012

John Terry Jumapili alitangaza kustaafu kama mchezaji wa kimataifa.

John Terry, nahodha wa zamani wa timu ya taifa ya soka ya England, siku ya Jumapili alitangaza kustaafu kama mchezaji wa kimataifa.
Terry, ambaye ni mlinzi wa klabu ya Chelsea, na mwenye umri wa miaka 31, alitangazwa na mahakama ya Westminster mjini London mwezi Julai kwamba hana hatia ya kutumia matamshi ya ubaguzi wa rangi dhidi ya Anton Ferdinand, tukio ambalo lilifanyika katika mechi ya ligi kuu ya Premier.
Lakini Terry, ambaye alishiriki katika mechi 78 za kimataifa, bado huenda akaadhibiwa na chama cha soka cha FA, kutokana na utovu wa nidhamu, huku chama kikiendelea kusikiliza kesi dhidi yake siku ya Jumatatu.
Anton Ferdinand na John Terry
                                    Terry ameamua kustaafu kama mchezaji wa kimataifa
Alisema: "Kuendelea kufuatia mashtaka dhidi yangu wakati mahakama tayari imeshafanya uamuzi na kupata sina hatia....hayo hayanipi nafasi kutimiza wajibu wangu."
Mwezi Julai mahakama iliamua kwamba Terry hana hatia, lakini wiki mbili baada ya hapo, chama cha FA kilimuandama kwa madai kwamaba alitumia matusi, au maneno yasiyofaa, dhidi ya mlinzi wa QPR, mwezi Oktoba, katika mechi iliyochezwa uwanja uliopo barabara ya Loftus.
Mahakama ilikuwa imesikiliza kesi dhidi ya Terry kuhusiana na madai ya matamshi ya ubaguzi wa rangi, akimuelezea kama "mweusi" na maneno mengine yasiyofaa.
Upande wa mashtaka ulishindwa kuthibitisha kikamilifu na pasipo na shaka yoyote kwamba Terry alitumia maneno hayo.
Lakini chama cha FA huenda kikamuadhibu kwa kuangalia tu kwamba kulikuwa na uwezekano huo, na hasa ikiwa alimuelezea mchezaji mwenzake kwa njia ambayo iligusia maneno kuhusu asili, au rangi yake.
Terry alimpigia simu meneja wa England, Roy Hodgson, kabla ya kuwasilisha wazi taarifa yake Jumapili jioni.
Terry alimrithi David Beckham kama nahodha mwaka 2006, lakini alivuliwa wadhifa huo mwaka 2010, kufuatia madai kwamba alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mke wa zamani wa mchezaji mwenzake katika timu ya England, Wayne Bridge.
Alirudishwa tena kama nahodha mwezi Machi mwaka 2011, lakini chama cha FA kikamvua unahodha mwezi Februari, jambo ambalo lilimfanya kocha wa zamani wa England, Fabio Capello kujiuzulu.
CHANZO CHA HABARI >>>www.bbc.co.uk/swahili/michezo

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate