EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Friday, September 14, 2012

WAISLAMU WAGWAYA KUANDAMANA KAMA WALIVYOPANGA

Polisi wakiwa katika doria kuzuia maandamano ya Waislamu waliokuwa wamepania kumng'oa madarakani Mufti wa Tanzania, Sheikh Issa bin Shaaban Simba.

DAR ES SALAA, Tanzania

JESHI la Polisi nchini limefanikiwa kudhibiti maandamano yaliyokuwa yamepangwa kufanyika jijini hapa leo, kushinikiza kuwaondoa madarakani Mufti wa Tanzania, Sheikh Issa bin Shaaban Simba na Katibu Mkuu wa Baraza la Taifa la Mitihani (Necta), Dk. Joyce Ndalichako.Polisi ilifanikiwa kuzima maandamano hayo leo Adhuhuri, licha ya Waislamu kukaidi agizo la kuwataka wasifanye hivyo, agizo lililotolewa na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.


Waislam hao ambao walipanga maandamano hayo hiyo jana baada ya ibada ya Ijumaa, na kuwatangazia waumini wao kujitokeza kwa wingi licha ya kupigwa marufuku, na kusambaza vipeperushi mitaani kuwataka kufanya hivyo.Magari ya Jeshi la Polisi yapatayo manane, yakiwemo ya maji ya kuwasha na mabomu ya machozi, ya Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), Polisi wa Usalama wa Raia na Kikosi cha Mbwa wakizunguka mitaa mbalimbali ya katikati ya jiji kuanzia asubuhi kuelekea barabara ya Morogoro na kutokomea kusikojulikana.Polisi na makachelo waliovalia mavazi ya kawaida walionwa na Habari Mseto wakiwa wamemwaga kila kona, kuimarisha usalama sehemu mbalimbali ikiwamo Makao Makuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata).


Kwa upande wake, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Musa Salum, aliwataka Waislamu kuungana kwa pamoja na kulaani watu wanaokashifu dini yao kwa maslahi yao binafsi, ikiwamo suala la Raia wa Marekani kumkashifu Mtume Muhammad (SAW) kupitia filamu aliyoitengeneza hivi karibuni.Naungana na waislamu wote kulaani kitendo hiki, kwani kinaweza kuleta uvunjifu wa amani duniani, kutokana na kukashifu imani za watu,” alisema Alhadi Mussa, aliyewataka Waislamu kukemea jambo hili kwa nguvu zote kwa amani pasipo kuleta machafuko.


Katika Msikiti wa Mtambani, Kinondoni, Polisi liliweza kujipanga kila kona, huku magari mawili ya FFU yakiwa yamejipanga kukabiliana na hali yoyote ya hatari, kutokana na kudaiwa maandamano yangeanzia hapo baada ya swala ya Ijumaa. Chanzo cha habari >>> francisdande.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate