AMANDA POSHY ASEMA ANAPENDA KUKATA NYELE ZAKE KUFUGA NYELE KWAKE NI WAZIMU.
Alichosema Amanda Poshy katika wall yake ya Facebook yaani kati ya vitu uwa siviwezi na vinanitia wazimu ni kufuga nywele....kwanza nikisukwa naona kama msusi ananionea tu....me napenda kukata nywele kama hivi.....najivunia kuwa na kichwa kizuri...
No comments:
Post a Comment