EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, December 29, 2012

Magari 7 yateketea kwa moto Dar

MAGARI saba yameteketea kwa moto katika nyumba ya Laurence Nchimbi (61) maeneo ya Tabata Kimanga jijini Dar es Salaam.

Kamanda wa Polisi Mkoa Kinondoni, Charles Kenyela, alisema kuwa moto huo ulitokea juzi majira ya saa 2:30 mchana katika eneo hilo ambapo ulidaiwa kuchangiwa na hitilafu ya umeme iliyoanzia kwenye gari T 312 BGJ Double Coaster.

Aliyataja magari mengine ni T 467 CFZ Scania, T 234 BSW Double Coaster, T 530 AWG Double Coaster, T 603 CAW Nissan Civilian, T 435 BFB Nissan Civilian na T 299 BWG Nissan Civilian ambayo yaliteketea kabisa.

Alisema kuwa hadi sasa thamani ya magari hayo bado haijafahamika ambapo moto huo ulizimwa na kikosi cha Zimamoto cha jiji wakishirikiana na wananchi wa eneo hilo na hakuna madhara zaidi kwa binadamu.
Kenyela alisema kuwa upelelezi wa tukio hilo unaendelea.
Katika tukio jingine, Kamanda Kenyela alisema kuwa, juzi majira ya saa 16:00 jioni katika eneo la Manzese Tip Top mtu aliyetambulika kwa jina la Ismaili Mgawo (50), dereva wa 

TANESCO alifariki baada ya kujiokoa kutokana na moto uliozuka katika hoteli ya MJ.
Kenyela alisema chanzo cha moto huo kilianzia katika chumba kilichokuwa kina kiyoyozi na mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospitali ya Mwananyamala.
Wakati huo huo, watu wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti likiwepo la mtoto kufa maji.

 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englebert Kiyondo alisema tukio la kwanza lilitokea juzi majira ya saa 16:30 jioni katika eneo la Somanga –Kigamboni.
Alimtaja mtoto aliyefariki dunia kuwa ni Naima Shukuru (7) ambaye alikuwa akichota maji katika kisima chenye urefu wa futi 12, na wakati akivuta maji kwa kamba alitumbukia na kunywa maji mengi na kufariki.
Kiyondo alisema mwili wa marehemu uliopolewa na wananchi wa eneo hilo na umehifadhiwa katika hospitali ya Vijibweni huku upelelezi ukiendelea.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate