EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, December 15, 2012

Migogoro yaendelea kufukuta ndani ya Chadema.

Migogogro  ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wilayani hapa imeendelea kufukuta baada ya vijana wadau wa chama hicho kuitisha mkutano wa kuitaka Halmashauri ya Wilaya ya Karatu kuvirejesha viwanja vya wazi vilivyouzwa kinyemela na kutishia kuwang'oa viongozi wa halmashauri hiyo.
Halmashauri ya Wilaya ya Karatu tangu mwaka 2000 hadi sasa inaongozwa na Chadema na sasa hivi madiwani wa chama hicho wapo 15 na wa CCM wapo watano.

Vijana hao walitoa maazimio hayo kwenye mkutano wao waliouitisha jana na kuhudhuriwa na wajumbe zaidi ya 75 kujadili hatma ya chama wilayani humo kutokana na kugubikwa na migogoro ambayo imesababisha viongozi kuanza kufukuzana wenyewe kwa wenyewe.

Maazimio mengine waliyoyatoa ni kuwataka viongozi wa juu wa Chadema kuingilia kati kurejeshwa kwa viongozi watatu waliosimamishwa uongozi vinginevyo watatumia nguvu ya umma kuwarejesha kwa nguvu katika ofisi zao ili waendelee na madaraka yao.
Walisema hawana imani na uendeshaji wa ofisi ya Chadema wilayani humo kwa sababu viongozi waliopo wamekuwa wakitumia muda mwingi kujadili mambo ya watu badala ya kutafuta mbinu za kukijenga chama ili kiweze kuimarika kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa 2015.

Mwenyekiti wa vijana wadau wa Chadema wilaya hiyo, Sadick Sippu, Katibu Lucian Malle na Makamo Mwenyekiti, John Hariohary, wakizungumza na waandishi wa habari jana muda mfupi baada ya kumaliza mkutano huo walisema wameamua kutoa maazimio hayo kwa sababu wamechoshwa na yanayoendelea ndani ya chama.

Walisema viongozi lazima watambue kuwa vijana hawana lengo baya na chama bali wanachotaka ni kuona viongozi waliopo madarakani wanatekeleza majukumu yao kwa kuzingatia katiba ya chama ili kukiwezesha chama kuimarika katika wilaya ya Karatu.

“Wilaya yetu ya Karatu inasifika kuwa kitovu cha upinzani tangu nchi yetu ilipoingia katika mfumo wa vyama vingi vya siasa lakini leo hii kutokana na kuwepo kwa viongozi maslahi ndani ya chama hususani katika wilaya yetu chama kimeanza kwenda mrama,” alisema Sippu.

Hivi haribuni viongozi na wanachama wa Baraza la Vijana la Wilaya ya Karatu (Bavicha) walisema  Mbunge wa Karatu Chadema, Mchungaji Israel Natse, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu, Lazaro Masay na Mwenyekiti wa Chadema Wilaya, Thomas Darabe, wajiuzuru nafasi zao ili kurejesha hali ya amani ndani ya chama kwa madai wamekuwa chanzo cha migogoro ndani ya chama.CHANZO: NIPASHE

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate