BAADA YA 
KUSUBIRIWA KWA HAMU, HATIMAYE KILE KITABU 'Kifo ni Haki Yangu' CHA 
MTUNZI MAHIRI WA RIWAYA NCHINI TANZANIA, Eric James Shigongo, hatimaye 
kiko tayari kuanza kuuzwa karibu yako. Kwa wasomaji wa mtandao huu, 
mnayo nafasi kubwa ya kukipata BURE, unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha
 wewe ni mwanachama au umeshajisajili katika mtandao huu, kama bado 
fanya hivyo kuanzia leo kisha usubiri utaratibu wa kujipatia kitabu hiki
 na vingine BUREEE...Stay Tuned!
 
  
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment