
Wema Sepetu  ameamua  kuhamishia majeshi  yake  kwa  kiserengeti  boy  ili  kulipiza  kiasi  kwa X wake  wa zamani, DIAMOND.....
Huyu ni Haidary Cavilla ambaye ni mchumba wa miss Tanzania namba 2 ,mwaka 2000, aitwaye Mercy Galabawa....
Kama kawaida, jamaa ni mdogo kiumri akilinganishwa na Wema, lakini inasemekana kwama Haidary anamiliki mkwanja mrefu ulioichanganya akili ya Wema Sepetu hasa baada ya kununuliwa gari aina ya Audi Q7.....

Picha  hizi  zilipigwa  nyumbani  kwa wema  sepetu na  hatimaye  kuvuja  mitandaoni,hali inayoashiria  kulipiza  kisasi kwa Diamond  baada  ya kunaswa  akiwa  na  Penny.Wema sepetu ni mrembo anayekabiliwa na   skendo  chafu ya kubadiliwanaume kama  nguo.Alianza na.
1.HERRY SAMIR
2.KHALEED MOHAMED
3. Marehemu STEVEN KANUMBA
4.JUMBE YUSUPH JUMBE
5.CHARLES GABRIEL
6.DIAMOND PLUTNUM
7. CLEMENT ( Bado wako pamoja)
8. HAIDARY CAVILLA
Na wengineo..
1.HERRY SAMIR
2.KHALEED MOHAMED
3. Marehemu STEVEN KANUMBA
4.JUMBE YUSUPH JUMBE
5.CHARLES GABRIEL
6.DIAMOND PLUTNUM
7. CLEMENT ( Bado wako pamoja)
8. HAIDARY CAVILLA
Na wengineo..
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment