EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Monday, February 4, 2013

Nigeria na Burkina Faso zatinga nusu fainali

Timu za taifa za Nigeria 'Super Eagles' na Burkina Faso zimefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya kombe la Mataifa ya Afrika inayoendelea kurindima nchini Afrika Kusini. Nigeria imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali baada ya kuichabanga Ivory Coast kwa mabao 2-1. Ilikuwa Nigeria iliyoanza kuzifumania nyavu za Ivory Coast 'The Elephants' katika dakika ya 43 kwa bao lililofungwa na mshambuliaji Emanuel Emenike 
Nigeria na Burkina Faso zatinga nusu fainali; Ivory Coast na Togo zafungasha virago 
Kipindi cha pili kilipoanza Ivory Coast walicharuka na kufanikiwa kupata bao la kusawazisha lililopachikwa na mchezaji wa kiungo Cheikh Tiote katika dakika ya 50. Hata hivyo, Sunday Mba aliifanikiwa kumuangusha 'mnyama' na kumchinjia baharini katika dakika ya  78.
Nigeria itakwaruzana na Mali katika hatua ya nusu fainali siku ya Jumatano.

Mali ilifanikiwa kupata tiketi ya kucheza nusu fainali baada ya kuwatoa wenyeji, Afrika Kusini kwa mikwaju ya penalti baada muda wa kawaida na wa nyongeza kwa timu hizo  kufungana bao 1-1. Kwenye mikwaju ya penalti, Mali ilipachika mabao 3 na Afrika Kusini bao 1. Hivyo Mali ilisonga mbele kwa jumla ya mabao 4-2.

Katika mtanange mwengine wa robo fainali, Burkina Faso imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali baada ya kuibwaga Togo kwenye mechi ngumu iliyotawaliwa na ubabe na wachezaji kurushiana madaruga. Kwenye mchezo huo, Burkina Faso imeweza kuinyoa Togo kwa bao 1-0. 
Hadi dakika ya 90 ya mchezo hakuna timu iliyoweza kutoboa nyavu za timu pinzani, na muda wa nyongeza wa dakika 30 ziliweza kuamua nani anasonga mbele. Jonathan Pitroipa aliipatia Burkina Faso bao pekee katika dakika ya 105 ya mchezo. Wachezaji sita wa Togo na wawili wa Burkina Faso walionyeshwa kadi za njano kwa kucheza rafu.
Kwa matokeo hayo, Burkina Faso itakwaruzana na Ghana siku ya Jumatano kwenye mchezo wa nusu fainali.Ghana walifanikiwa kutinga nusu fainali baada ya kuifunga Cape Verde mabao 2-0 kwenye mchezo wa robo fainali.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate