EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Sunday, May 19, 2013

DIVA NA MWANAMITINDO KENYA WAMGOMBEA PREZOO.

Huddah Monroe

Hakuna siri tena kuwa mtangazaji wa Clouds FM Loveness aka Diva na mfalme wa bling bling Rapcellency Prezzo ni wapenzi na wote wameconfirm. Lakini hata hivyo Diva amejikuta akipata upinzani mzito kutoka kwa model na msichana maarufu nchini Kenya Huddah Monroe ambaye kulikuwepo tetesi kuwa yeye na Prezzo waliwahi kuwa wapenzi.
Huddah amemshambulia Diva kuwa anajisifia mno kwenye Twitter kuhusu uhusiano wake na Prezzo. Pia anasema Diva ana sura mbaya.“But she is still dreaming ,plus she is so ugly.”
“Theres a gal here she can’t stop sayin the way a nigga is her man,she is even waiting for a ring,im on the floor,” ametweet Huddah.
“She says it was love at first sight,but all a nigga wanted was to bust his nut.”
Huddah pia amemdiss Diva na wasichana wengine walio upande wake kuwa wanatweet Kiswahili kwakuwa Kiingereza ni kigumu.

“These bitches tweeting in swahili coz english is so hard.”
“Sio vita,i just found ur obsession so funny,u even broke u up with ur boyfriend,tumecheka tukaketi chini,” ameongeza Huddah.
“Hahaha! She is like i should respect her @Divamimi ,too shady to call herself a diva.”
“Sit ur ass down bitch i just laughed at ur tweet,nw u makin it a big deal.”
Hata hivyo Diva hakukaa kimya, hivi ndivyo alivyojibu.
#TeamPrezzo #Rapcellency#ThePresident. Am 100% Protecting his Territory , ukno how we do it Son. In Jay’z voice #1love
Next time finish what u started my Angel, am from Tanzania, I can handle a woman like u, learn to respect those u don’t know.
That woman crazy , she just started attacking me then »» Ex girlfriend, I dig her, ouch
Mwenzangu wee lol, she needs to move on, this will never take her nowhere.
LOL, too Early for her , let her kip on venting , not gon deal wit her ever again, some girls man.
Baada ya vita kuwa nzito, Diva ameomba msaada kwa followers wake wamfunze adabu Huddah kwa kile Diva anachosema amewatukana watanzania.
“Pliz handle this woman from kenya that been so busy attacking me. Attacking my country as well, mfunzeni #Leggo.
Diva.
Huddah amejibu: LMFAO! U are now askin Tanzanians to abuse me? U actually called Tanzaninan men dirty na hata shame huna.
Hizi ni tweets za Diva zilizofuata akidhihirisha anavyompenda Prezzo na kwamba hamtaki tena Huddah.
I love Prezzo and Simuachi Ng’oo , so she better deal with dat. She needs to leave me alone now. Its LOVE!. #bowdown#UheardTheDiva.
A little bit advice for her , you can’t fight love, Esp. love at first Sight. That’s Powerful. I lov Kenya#My2ndhome. So done.
Then you go and tell her to move on. Coz Prezzo don’t want her anymore. That is so easy!
Unaionaje vita ya wasichana hawa wawili amnbayo bado inaendelea kwenye Twitter? Kitu kimoja kikubwa wanachofanana wasichana hawa ni kuwa wote ni maarufu sana kwenye Twitter na wako controversial.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate