
Kesho ndio siku yenyewe ambayo wasanii waliotajwa kuwania tuzo za mwaka huu za muziki wa Tanzania, Kilimanjaro Tanzania Music Awards, KTMA watajua hatma yao.
Tuzo za Kili zitatolewa kesho June 8 kwenye ukumbi
wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Hizi ni picha za jinsi maandalizi
ya jukwaa na ukumbi yalipofikia.






No comments:
Post a Comment