Mtuhumiwa
wa wizi akiomba kusamehewa wakati mtu mwenye hasira kali akijiandaa
kumtupia tofali kichwani ambalo lilimjeruhi vibaya mtuhumiwa huyo.
Kutokana
na kipigo jamaa huyo alianguka hatua iliyofanya watu hao wenye hasira
kutawanyika eneo la tukio, wakidhani mtuhumiwa amekufa.





No comments:
Post a Comment