Irene Uwoya ‘Mama Krrish’ akipata msosi wakati wa futari hiyo.
Kajala akiwa na mtoto wake Paula wakipata futari.
Kajala akiwa na Chuchu Hancs muda mfupi kabla ya kufuturu.
Kajala akiwa na mtoto wake katika picha ya pozi.
STAA mahiri wa filamu za Bongo, Aunt
Ezekiel jana alifunga dimba la kufuturisha kwa mastaa baada ya kuwaalika
watu mbalimbali nyumbani kwake Mwananyamala jijini Dar es Salaam, kwa
ajili ya kupata futari pamoja. Pichani juu ni baadhi ya taswira wakati
wa zoezi hilo.
(PICHA NA IMELDA MTEMA / GPL)
(PICHA NA IMELDA MTEMA / GPL)
No comments:
Post a Comment