EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, August 3, 2013

CHOMBEZO: KITANDA CHA MAMA MWENYE NYUMBA....SEHEMU YA.... 02..


Mtunzi_Na: IRENE MWAMFUPE NDAUKA

“Kwa hiyo akinikuta saa hizi humu ndani
kwake si ataniua?”
Hawezi, ingawa ana bastola…”
“Mama mimi nakwenda, kumbe mumeo ana
bastola..!”
“Hawezi kukuua, alisema hataki uingie usiku,
‘asa kwani saa hizi ni usiku?”
alisema mama Joy huku akimsogelea mzoa taka huyo
na kumshikashika kidevuni. Alizikuna ndevu zake chache…
“Una ooo nzuri kijana, sema tu hutaki
kuitunza…”
“Una macho mazuri, madogoooo, sema tu
unayashindisha juani mpaka yanakuwa mekundu, au unavuta bangi..?”
“Sivuti bangi mama…”
 

“Una midomo mizuri, minene halafu myeusi,
naipenda.” Hapo mama Joy vidole vyake vilikuwa vikicheza kwenye midomo ya mzoa
taka huyo ambaye alionekana hajapiga mswaki…
“Halafu kifua chako kimetuna vizuri sana, mi
nakipenda, unafanyaga mazoezi  nini?”
“Nina muda huo mama, labda kimetuna chenyewe
tu.”
 

Mama Joy alimvutia kwake mzoa take,
akamgusanisha na kifua chake huku akizidi kummwagia sifa kibao…
“Halafu kifua chako kina joto zuri…”
“Asante mama…”


“Halafu masikio yako yamekaa vizuri kwa
kushikwashikwa,” mama Joy akamshika masikio mzoa taka huyo…
“Mama unanitekenya lakini…”
“Kweli..?”
“Kweli tena…”
 

“Nakutekenya nikifanyaje?”
“Hivyo unavyonishikashika masikio…”
“Yaani hivi,” alisema mama Joy akiendelea
kumshikashika sehemu hizo, mzoa taka akachachamaa mwili, akatupa furushi lake
chini.
 

Kutokana na maisha yake ya kifukara ambapo
kula, kulala kwake  kwa kubahatisha, mzoa
taka hakuwa akipata mademu, kwa hiyo mama Joy kumfanyia ‘utani’ ule wa kimahaba
kwake ilikuwa kama mtende ulioota kwenye jangwa…
 

“Unajua mwenzio naumia mama, kwani nini
kimetokea mpaka leo unafanya hivi..?”
“Kijana tulia, kwani siku zote hukuona kama
nimekupenda sana mwenzio..?”
“Aaah! Mama wewe mke wa mtu, mimi siwezi,
naogopa na sitaki.”
 

Mama Joy alijua kauli ya mzoa taka huyo ya
kugoma inaweza kuzua matatizo makubwa kwamba atamtangaza, akaamua kumbaka.
Kwanza, aliangalia kulia na kushoto,
alipoona hakuna mtu na mlinzi hawezi kufika, alimshika mzoa taka na kumlaza
chini kwenye nyasi za bustani, akamvua suruali, akamvua ‘kufuli’ kisha yeye
akavua zake na kuanza kujihudumia kwa raha zake…
“Mama…”
“Abee…”
“Mumeo ana bastola lakini…”
“Wala isikutishe, ha…ha…wezi kuja…”
“Akija je?”
 

“Ni…nisi…kie mi…mi…”
Kwa kuwa walikuwa wanaiba, mama Joy
alijitahidi kupiga mashuti ya kasi ili apate goli la ushindi. Hakukuwa na
mbwembwe, madoido wala manjonjo, mama Joy akafika juu ya mlima na kutangaza
ushindi.
 

Aliamka na kumsimamisha mzoa taka ambaye
bado alikuwa hoi kwa ‘mzuka’ ingawa naye alishabanjua dafu lake moja, lakini
bado alikuwa anataka tena…
“Simama basi.”
Mzoa taka alisimama…
“Vaa…”
Mzoa taka alivaa nguo zake, akaendelea
kusimama…
 

“Chukua matakataka yako, mimi nakuja sasa
hivi,” alisema mama Joy huku akienda ndani.
Mzoa taka alijishangaa kwa jinsi alivyobaki
na harufu ya pafyumu ya mama Joy…
“Mmm…ananukia vizuri, sijui kajimwagia nini
mwilini?”
 

Baada ya dakika mbili tu, mama Joy alirudi,
akampa mzoa taka shilingi elfu hamsini, nyekundu tupu…
“Hizi ukanunue suruali nzuri, shati zuri,
viatu, chup*** na kisha uoge uwe mzuri zaidi ya hapa, sawa kijana wangu?”
 

“Asante sana mama, sawa.”
Mzoa taka aliweka pesa mfukoni, akabeba
furushi lake na kutoka.
Getini, mlinzi alimtupia jicho baya mzoa
taka…
 

“Hivi wewe kijana, huko mitaani hakuna
matakataka hadi uje hapa?”
“Sasa kwani yako?”
“Jibu swali wewe, acha ujeuri, nitakuwa
sikufungulii…”
 

“Usifungue tuone kama nitakuwa siingii…”
“Utaingia kwa njia gani?”
“Pana nini hapo getini..?” mama Joy aliuliza
kutokea mbali karibu na mlango mkubwa wa kuingilia ndani…
“Si huyu hapa,” alisema mzoa taka…
“Anasemaje?”
 

“Mama namtania tu huyu ni mtani wangu. Teh!
Teeh! Teeeh!”
Mama Joy aliingia ndani. Mwili wote ulikuwa
ukinuka jasho la mzoa taka. Mbaya zaidi alimchafua hadi  nguo aliyovaa…
“Daaah! Yataka moyo kuwa na mpenzi kama
huyu,” alisema moyoni mama Joy, mara honi ya gari mlangoni ikalia…

“Mh! Siyo mume wangu kweli huyo?”
“Na kama ni mume wangu si ajabu amemuona
mzoa taka,” aliwaza mama Joy huku akikimbilia chumbani, akachukua taulo kisha
akakimbilia bafuni ambako alioga kwanza.
Alipotoka alimkuta mumewe amekaa sebuleni.
Mama Joy alitetemeka sana…
“Vi…pi mwenzetu?”
 

Baba Joy alimkazia macho mkewe bila kumjibu
kitu halafu akaangalia kwenye tivii ambayo ilikuwa haijawashwa…
“Baba Joy.”
Baba Joy alimwangalia mkewe kama ishara ya
‘nakusikiliza ongea’. Lakini mama Joy alipoona hali ile, hakuongeza neno,
alipitiliza chumbani…
 

“Mh! Hapa kuna ishu, lazima.”
Licha ya kujikausha kwa taulo lakini
aliendelea kuhisi ananuka uchafu aliogusishwa na mzoa taka. Alivaa gauni simpo,
akatoka hadi mlango mkubwa, akatumbukiza miguu kwenye sendozi, akaelekea
getini…
“Mlinzi…”
 

“Naam mama…”
“Baba Joy alipoingia alisemaje?”
“Hajasema kitu, amepiga honi tu kisha
akaingia.”
“Ulimwamkia?”
“Ndiyo mama.”
“Akaitikiaje?”
 

“Kha! Mama kwani wewe nikikuamkiaga huwa
unaniitikiaje?”
“We mshe** nini? Nakuuliza swali na wewe
unanijibu swali…”
“Alisema marhaba, nikamuuliza mbona umewahi
kurudi? Akasema amechoka sana…”
 

“Mlinzi fungua geti haraka,” sauti ya baba
Joy ilisikika kwa kishindo na vile ilikuwa nzito na nene ndiyo kabisa.
Baba Joy aliingia kwenye gari, likarudi
‘rivasi’ na kugeuza kisha likatoka ndani bila kuaga mtu. Mlinzi alifunga geti
nyuma ya baba Joy…
“Mlinzi,” mama Joy aliita…
 

“Naam mama…”
“Hebu njoo huku ndani,” mama Joy alisema
huku akianza kutembea. Alipofika sebuleni, alikaa mkao wa hasira.
Mlinzi aliingia…
 

“Nifunge mlango mama..?”
“Wa nini..?”
“Nilikuwa nauliza tu…”
“Hebu kaa hapo.”
Mlinzi naye alianza kutetemeka, alihisi
kibarua kimeingia mdudu mbaya…
“We mlinzi si una namba ya mume wangu..?”
“Ndiyo…”
“Simu yako iko wapi?”

JE NINI KITAENDELEA ...USIKOSE...SEHEMU YA ....03... 
Kuwa na mimi hapa tena siku ya Jumatano itaendelea.....

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate