EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Monday, March 24, 2014

MADAI MAZITO...MAINDA MJAMZITO


Kama ni kweli hii ni habari njema! Siku chache baada ya kuliambia gazeti ndugu la hili, Amani kuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa chango hivyo inambidi azae, super lady wa sinema za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ anadaiwa kuwa mjamzito, Ijumaa Wikienda limechimba kila ‘engo’.
 
Super lady wa sinema za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’.
MUONEKANO
Habari zilieleza kwamba kimuonekano, Mainda aliyezoeleka kuonekana mwembamba, sasa ameanza kunenepa huku kitumbo nacho kikianza kuwa kikubwa.

Habari kutoka kwa mmoja wa mashosti zake aliyeomba hifadhi ya jina, zilidai kwamba kila amuonapo Mainda anagundua kuwa ana mabadiliko fulani ndani ya mwili wake hasa tumbo lake kuongezeka ukubwa.
“Unajua Mainda ni msiri sana hasa katika kipengele cha kuzungumzia mwili wake, kila tukimuuliza shosti wetu kama ni mjamzito anakataa.

“Anadai eti ana matatizo ya ugonjwa wa chango lakini ukimwangalia tumbo unaona linazidi kukua, binafsi mimi naamini ni mjamzito ila yeye anafanya siri,” alidai rafiki huyo.
 
APELEKWA HOSPITALI
Habari zilizoenea Ijumaa iliyopita zilidai kuwa mwanadada huyo alipelekwa kwenye Hospitali ya Kinondoni maarufu kwa jina la kwa Dokta Mvungi jijini Dar.
Siku hiyohiyo mwanahabari wetu alizama hospitalini hapo ambapo alikutana na vizuizi vingi kwa kuwa moja ya masharti huruhusiwi kuingia wodini bila kufuatana na ndugu wa mgonjwa.
Katika jitihada za kuthibitisha kama Mainda kalazwa hapo na kujua kinachomsumbua, mmoja wa madaktari (jina linahifadhiwa) ambaye anamfahamu mwandishi wetu alimtonya kuwa ni kweli Mainda alifikishwa hospitalini hapo.
UGONJWA, UJAUZITO
Kuhusu ugonjwa uliompeleka hospitalini hapo na habari kuwa ni mjamzito, dokta huyo alisema: “Ninavyojua mimi, ugonjwa ni siri ya daktari na mgonjwa au na ndugu. Nadhani muulize mwenyewe, akipenda atakwambia. Ni kweli alikuwepo na amesharuhusiwa.”
Ijumaa Wikienda lilimtafuta Mainda kwa njia ya simu lakini akawa hapokei.
Baadaye mwandishi wetu alikwenda hadi nyumbani kwa Mainda, Kijitonyama, Dar lakini alijibiwa na majirani kuwa hayupo kwa muda mrefu.
 
APOKEA SIMU
Hata hivyo, juhudi za kumpata, ziliendelea ambapo alitumiwa ujumbe mfupi, alipopigiwa akapokea.
Katika mazungumzo yake na mwandishi, Mainda alikiri kuwa anasumbuliwa na chango na kwenda hospitali lakini alikataa kuzungumzia ishu ya ujauzito.
“Mimi nilishasema nasumbuliwa na chango, huo ujauzito unaosema, hata kama upo, tusubiri kwani huwa haufichiki,” alisema Mainda.
UTATA
Baada ya habari kuwa ya mjini, ishu hiyo iliibua utata kuwa kama ni ugonjwa wa chango, inawezekana mtu akazidiwa kiasi hicho hadi kukimbiza hospitali?
Pia ilihojiwa kuwa kama kweli ni mjamzito, je, baba wa kiumbe hicho ni nani?
NI MIMBA YA PILI?
Kama kweli Mainda atakuwa mjamzito basi itakuwa ni mimba ya pili baada ya kukiri kuwa aliwahi kuchoropoa ya aliyekuwa mtu wake, mwigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ ambaye walishamwagana.
CHANZO NI GPL

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate