Kaimu
Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP-Mtandao), Bi.
Lilian Liundi akitoa hotuba ya kuwakaribisha wageni mbalimbali na
kuzungumza na washiriki wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
yaliyofanyika katika viwanja vya TGNP Mabibo jijini Dar es Salaam.


Kaimu
Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP-Mtandao), Bi.
Lilian Liundi (kulia) akichukua dondoo muhimu wakati wa uwasilishwaji
mada anuai katika maadhimisho hayo.







No comments:
Post a Comment