EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, April 5, 2014

ATAKAYEMUOA WASTARA ATAKUFA

NYOTA wa sinema za Bongo, Wastara Juma ameibuka na kusema kuwa, kuna mwanaume asiyependa mafanikio yake kiasi kwamba alifurahia alipopata ajali na kuvunjika mguu, mumewe Juma Kilowoko ‘Sajuki’ kufariki dunia na akatangaza kwamba, mwanaume yeyote atakayemuoa  atakufa kama Sajuki.
Wastara Juma.
Katika mahojiano maalum na gazeti hili juzi, Bamaga -  Mwenge, jijini Dar es Salaam, Wastara alisema mwanaume huyo aliwahi kuwa na uhusiano naye wa kimapenzi miakka ya nyuma, wakamwagana.
Wastara aliyasema hayo baada ya kupigwa swali kwamba, kuna madai kifo cha mumewe, marehemu Sajuki kilikuwa na mkono wa mwanaume aliyewahi kuwa mpenzi wake (jina tunalishikilia kwa sasa).

“Ni kweli kuna mwanaume niliwahi kuwa na uhusiano naye, alitangaza kwamba yeyote atakayenioa atakufa kama aliyokufa Sajuki.
“Ukiachana na Sajuki, nilipopata ajali mwaka 2009 nikavunjika mguu na kukatwa, huyo mwanaume ambaye tulishaachana siku nyingi, alitangaza kwa watu kwamba yeye alitaka nivunjike miguu na mikono yote ili niwe kama boksi,” alisema Wastara huku akilengwa na machozi.
Risasi Jumamosi: Sasa Wastara, kama hali ni hiyo wewe ulichukua uamuzi gani?
Wastara: Nilikwenda kumripoti Kituo cha Polisi Oysterbay (jijini Dar).
Risasi Jumamosi: Okay, lakini unaonaje madai kwamba, huyo mtu anahusika na kifo cha Sajuki?
Wastara: Kusema kweli mimi siwezi kujua maana Sajuki aliumwa namuona, akazidiwa ikafika mahali Mungu akamchukua. Sasa kama ni mkono wa huyo mwanaume sijui ila ilivuma hivyo.
Risasi Jumamosi: Lakini kwa tangazo lake hilo, wewe umejipangaje? Maana wanaume watakuwa wanakuogopa!
Wastara: Kama yeye amejipanga iwe hivyo, hata mimi nimejipanga pia. Sina wasiwasi, lakini namtangaza huyo mwanaume kama adui yangu namba moja. Sina wasiwasi, siwezi kudhurika na wala mwanaume atakayenioa hawezi kudhurika.
Hayo ni maneno yake, akae nayo tu. Kama anataka vita, nipo tayari lakini siku zote mimi ni mkimya ila mtu akinikorofisha huwa nacharuka hasa.
Risasi Jumamosi: Tangu mmeachana na huyo mwanaume umewahi kukutana naye popote?
Wastara: Sikumbuki kwa kweli. Nadhani sijawahi kumwona ila yupo. Amekuwa adui hata wa familia ya kwetu kwa ajili ya matamshi yake hayo.
Risasi Jumamosi: Kwani kuachana kwenu kulitokana na nani?
Wastara: Mimi nilimchoka kwa tabia yake. Alikuwa hajatulia. Mbaya zaidi manyanyaso yalikuwa kila siku. Sijawahi kufurahia uhusiano wangu na yeye.
CHANZO NI RISASI JUMAMOSI

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate