EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, April 12, 2014

MTOTO: LICHA YA ULEMAVU WANGU HUU, IPO SIKU TU NITAKUWA RAIS

“MATESO tumeumbiwa binadamu ila wakati mwingine unaweza kujiuliza kwanini matatizo yanamkumba hata mtu usiyetarajia kutokana na udogo wake,” ndivyo anavyosimulia Roswita Mhagama (48) mkazi wa Kibamba jijini Dar es Salaam.
Mwanamke huyo ni mama mzazi wa mtoto Aloyce Mhagama (6) ambaye alizaliwa Mrimba mkoani  Morogoro akiwa na ulemavu wa miguu na mkono.
KISA KAMILI
Mtoto Aloyce Mhagamaakiwa na mama yake mzazi aliyejulikana kwa jina la Roswita Mhagama
Mama Alo alisema kuwa, alipomzaa mtoto huyo mwaka 2008, baba mzazi alimkataa akidai  hayupo tayari kulea mtoto wa ajabu kutokana ulemavu huo.
“Mbali na baba yake, hata majirani wakati wa uchanga wa Aloyce, walimfananisha mtoto wangu na chura. Eti kwa sababu mguu mmoja umepinda, mwingine kipisi na mkono mmoja pia kipisi,” alisema mwanamke huyo.
Alisema kufuatia hali hiyo, mwaka 2010 aliamua kuhama Mrimba na kufika jijini Dar kuangalia jinsi gani angeweza kuishi na mtoto wake akiwa katika ulemavu huo.
“Riziki ni popote japo unafuu ninaoupata sasa hivi ni tofauti sana na nilipokuwa Mrimba lakini bado matatizo yapo. Mrimba jamii ilinitenga, Dar sivyo. Pengine ni kutokana na wakazi wake kuwa na uelewa mpana juu ya ulemavu,” alisema mwanamke huyo.

Akaendelea: “Maisha yangu kwa hapa nategemea zaidi kudura za Mwenyezi Mungu, leo ikipita kesho itajijua yenyewe.
“Kuna msamaria mwema mmoja alijitolea kuomsomesha mwanangu kwenye Shule ya Chekechea ya Saint Bernard, Kibamba (Dar) na alinilipia pango la nyumba, lakini sijui kama atanendelea maana
 pango linaisha mwezi huu wa nne na alionesha kukwama kwa kusema hana pesa ndiyo maana nimekuwa na wasiwasi.
ALOYCE AKITAKA KWENDA CHOONI
Mama Aloyce aliendelea kusema kuwa, mazingira anayoshi pia si rafiki kwa mwanaye kwa vile mvua ikinyesha maji machafu hutoka chooni na kusambaa hivyo kumsababishia mwanaye kuwa na homa za mara kwa mara kwa sababu ya kushika maji machafu.
KUHUSU WATANZANIA
Mama Aloyce alisema anawaomba Watanzania wamsaidie mtoto wake aweze kuendelea na shule, pia akaomba asaidiwe sehemu ya kuishi.
Kwa upande wake Aloyce alipozugumza na gazeti hili alisema anapenda sana kusoma na akiwa mkubwa ndoto zake ni kuwa rais ili aweze kuwakomboa watoto wanaoishi  katika mazingira magumu.
Mtoto Aloyce: “Pamoja na ulemavu wangu huu lakini nina imani kwamba iko siku nitakuwa rais, nitasoma sana, nitakuwa mwanasiasa mpaka nitafikia malengo hayo na ikitokea hivyo nitawasaidia zaidi watoto wanaoishi katika mazingira magumu.”
Kwa wale walioguswa kumsaidia mtoto huyu, wanaweza kutuma pesa kwa namba: 0713 612533. Kutoa ni moyo!

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate