“MATESO tumeumbiwa binadamu ila wakati mwingine unaweza kujiuliza
kwanini matatizo yanamkumba hata mtu usiyetarajia kutokana na udogo
wake,” ndivyo anavyosimulia Roswita Mhagama (48) mkazi wa Kibamba jijini
Dar es Salaam.
Mwanamke huyo ni mama mzazi wa mtoto Aloyce Mhagama (6) ambaye
alizaliwa Mrimba mkoani Morogoro akiwa na ulemavu wa miguu na mkono.
KISA KAMILI
Mama Alo alisema kuwa, alipomzaa mtoto huyo mwaka 2008, baba mzazi
alimkataa akidai hayupo tayari kulea mtoto wa ajabu kutokana ulemavu
huo.
“Mbali na baba yake, hata majirani wakati wa uchanga wa Aloyce,
walimfananisha mtoto wangu na chura. Eti kwa sababu mguu mmoja umepinda,
mwingine kipisi na mkono mmoja pia kipisi,” alisema mwanamke huyo.
Alisema
kufuatia hali hiyo, mwaka 2010 aliamua kuhama Mrimba na kufika jijini
Dar kuangalia jinsi gani angeweza kuishi na mtoto wake akiwa katika
ulemavu huo.
“Riziki ni popote japo unafuu ninaoupata sasa hivi ni
tofauti sana na nilipokuwa Mrimba lakini bado matatizo yapo. Mrimba
jamii ilinitenga, Dar sivyo. Pengine ni kutokana na wakazi wake kuwa na
uelewa mpana juu ya ulemavu,” alisema mwanamke huyo.
Akaendelea: “Maisha yangu kwa hapa nategemea zaidi kudura za Mwenyezi Mungu, leo ikipita kesho itajijua yenyewe.
“Kuna
msamaria mwema mmoja alijitolea kuomsomesha mwanangu kwenye Shule ya
Chekechea ya Saint Bernard, Kibamba (Dar) na alinilipia pango la nyumba,
lakini sijui kama atanendelea maana
pango linaisha mwezi huu wa nne na alionesha kukwama kwa kusema hana pesa ndiyo maana nimekuwa na wasiwasi.
ALOYCE AKITAKA KWENDA CHOONI
Mama Aloyce
aliendelea kusema kuwa, mazingira anayoshi pia si rafiki kwa mwanaye kwa
vile mvua ikinyesha maji machafu hutoka chooni na kusambaa hivyo
kumsababishia mwanaye kuwa na homa za mara kwa mara kwa sababu ya
kushika maji machafu.
KUHUSU WATANZANIA
Mama Aloyce alisema anawaomba Watanzania wamsaidie mtoto wake aweze kuendelea na shule, pia akaomba asaidiwe sehemu ya kuishi.
Kwa upande wake Aloyce alipozugumza na gazeti hili alisema anapenda
sana kusoma na akiwa mkubwa ndoto zake ni kuwa rais ili aweze kuwakomboa
watoto wanaoishi katika mazingira magumu.
Mtoto Aloyce: “Pamoja na
ulemavu wangu huu lakini nina imani kwamba iko siku nitakuwa rais,
nitasoma sana, nitakuwa mwanasiasa mpaka nitafikia malengo hayo na
ikitokea hivyo nitawasaidia zaidi watoto wanaoishi katika mazingira
magumu.”
Kwa wale walioguswa kumsaidia mtoto huyu, wanaweza kutuma pesa kwa namba: 0713 612533. Kutoa ni moyo!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
HABARI MBALIMBALI
‘Dk. Cheni’
‘Sharo Milionea
‘Thea’
African Women
AGNESS MASOGANGE
AK CLASSIC COSMETICS
ALI KIBA
Amanda Poshy
Ant
ANT LULU
Ashley Toto
Aunt Ezekiel
Aunty Ezekiel
AUNTY LULU
Azam Fc
Baby Madaha
BAHATI BUKUKU
Barnaba
BATULI
BBA
Beauty of the day
Belle 9
BI KIDUDE
BIBI BOMBA
Big Brother
Big Brother Africa
Bill Gates
BINTI KIZIWI
BOB JUNIOR
Bodi ya Filamu
Bongo Movie
Bongo Movies
CCM
CHADEMA
Chombezo
Christina Shusho
Chuchu hans.
Clouds Media Group
Club Bilicanas
DAR LIVE
DAVINA
Dayna Nyange
Diamond
Dida
Diva Loveness Love
Dj Ommy Crazy wa Maisha Club
DOGO JANJA
DOKI
DR.CHENI
DSTV
Dude
Dully Sykes
EBSS 2013
Elizabeth Michael
Epiq Bongo Star Search (EBSS)
ESHA BUHETI
Ester Bulaya
Feza Kessy
FIESTA 2014
Flaviana Matata
FLORA MBASHA
FLORA MVUNGI
Francis Cheka
GARDNER
GLOAL PUBLISHERS
GLOBAL TV ONLINE
H. BABA
Halima Mdee
HAMISA
Happy birthday
Hemedi
Hemedy Suleiman
HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE
Hoyce Temu
Huddah Monroe
HUSINA
IRENE PAUL
Irene Uyoya
ISABELLA
J film 4 life
Jack Chuz
JACK PATRICK
Jacob Steven ‘JB’
Jacqueline Dustan
JACQUELINE WOLPER
Jaji Khamis 'Kashi'
Jay Dee
JENNIFER KYAKA (ODAMA)
JIDE
JINI KABULA
JK
JO
Johari
Jokate Mwigelo ‘Kidot’.
JOTI
Joyce Kiria
Joyce Kiwia
JUX
K-LYNN
KADINDA
kaja
Kajala Masanja
Kapotive Star Singers
KATUNI
Kemmy
Kero Zetu
KHADIJA OMAR KOPA
KIKWETUKWETU
KILI MUSIC AWARDS
KOLETA
Lady Jay Dee
Lady Jaydee
Lake Oil
LAVEDA
Linah Sanga
Linex
Lisa Jensen
Loveness Diva
Lucy Francis Komba
Lulu
M2 The P
MABILIONEA
Madam Rita
MADELA
Magazeti
Mahusiano
Maimartha Jesse
MAINDA
MAISHA
Makala
Malkia Elizabeth
MAMTEI
MANDELA
MARIAM ISMAIL
Masanja Mkandamizaji
Mashindano ya Miss Tanzania
Matangazo
Matonya
MaxMalipo
MAYA
MELLIS EDWARD
MENINAH
MGOSI MKOLONI
Mh Halima Mdee
mic
Michezo
MILLEN HAPPINESS MAGESE
MISS CHANG'OMBE
MISS DAR CITY CENTER
Miss East Africa
MISS REDD'S IRINGA 2013
MISS TANGA 2013.
MISS TANZANIA 2014
Miss Tanzania mwaka 2011
MISS TEMEKE 2014
MISS USTAWI
MISS UTALII TANZANIA 2012/13
Miss vyuo vikuu 2013
MKALA
MREMBO HUDDAH
Mrisho Mpoto
Mrisho Ngassa
MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES.
MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013
Mtitu
muziki
Mwana FA
MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Mzee Majuto
Nancy Sumari
Nani Mtani Jembe?
NAPE
Nassoro ‘Nora’
Natasha
Nay wa Mitego
Necta
Nelly Kamwelu
NEY WA MITEGO
Nisha
NSSF;Zantel
Nyamwela
NYimbo
Nyota yako
OBAMA TANZANIA
OMMY DIMPOZ
P FUNK
PAM D
Peniel Mgilwa ‘Penny’
PETIT MAN
Profesa Jay
Q - CHILA
Q Boy
Q Chilla
QUEEN DARLEEN
RACHEL NDAUKA
RAIS KIKWETE
Rais Kikwete.
Rasimu Ya Katiba TZ
Ray
Ray C
Redd’s Miss IFM
REDD'S MISS KAGERA 2013
REDD'S MISS TZ
REDDS MISS TANZANIA 2014
Redds Miss wa Mikoa
REHEMA FABIAN
RICHIE RICHIE
Rihanna
ROSE MUHANDO
Rose Ndauka
Ruge Mutahaba.
SABASABA 2013
Saida Karoli
Saikolojia
Sajeti
SAJUKI
Sandra
SHAA
Shamsa Ford
Sheikh Ponda
Shilole
Sintah
Siwema
Skin Tricks
Snura Mushi
Spika Makinda
staa
Staa Wetu
Stella Mwangi
STYLE ZA NYWELE
Taifa Stars
Tamasha la matumaini
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013
Tangazo
TANZANIA
TEGO
TENGENEZA WEBSITE NA BLOG
TID
Tundaman
Tupo wangapi?
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Twanga Pepeta
USA PAGEANT 2014
VAI
Wastara
WEMA
WEMA SEPETU
Yanga
Yanga Bingwa 2013
YOUNG D
Yvonne Cherry ‘Monalisa’
Z Anton.
Zari
Zito kabwe
No comments:
Post a Comment