EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Monday, July 21, 2014

TAMASHA LA MATUMAINI 2014... SHILOLE KUMFUNIKA YEMI ALADE

 
WAKATI Watanzania wakilisubiri kwa hamu Tamasha la Matumaini litakalofanyika Agosti 8, mwaka huu ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar, habari njema ni kwamba, staa wa Chuna Buzi, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameahidi kumkalisha mkali wa Johhny, Yemi Alade atakayekuja kulipamba tamasha hilo.
 
Mkali wa kudansi kutoka Nigeria, Yemi Alade akipozi.
Akizungumzia tamasha hilo lenye lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia mfuko wa elimu nchini, mratibu Luqman Maloto, amesema uwepo wa Shilole siku hiyo utaamsha hisia za mashabiki wengi uwanjani hapo kutokana na staili ya uimbaji na uchezaji kufanana na ya Yemi Alade.

“Kawaida ya Shilole jukwaani huwa habahatishi na niwaambie tu utakuwa mchuano mkubwa siku hiyo kwani hapa Shilole pale Yemi Alade, sijui nani ataibuka kidedea wa shoo siku hiyo, mashabiki wenyewe ndiyo watakaoamua,” alisema Maloto.
Utamu wa tamasha hilo hautaishia hapo, Maloto alisema watakuwepo pia waimbaji wanaotamba kunako muziki wa Injili ambao watatoa burudani nzuri ya kumsifu Mungu.
“Listi ni ndefu na inazidi kuongezeka kila kukicha na mpaka sasa wasanii wakubwa wa muziki wa Injili tutakaokuwa nao ni pamoja na Upendo Nkone, Ambwene Mwasongwe, Angela, Paul Clement na Martha Mwaipaja,” alisema Maloto.
Maloto alisema, katika eneo la Bongo Fleva, watakuwepo wasanii lukuki kulipamba tamasha hilo kwa kiingilio cha shilingi elfu tano tu.“Bado wasanii wanaendelea kuongezeka lakini hadi sasa tumeshawaweka mkononi Madee, R.O.M.A Mkatoliki, Meninah, Juma Nature na kundi zima la Wanaume Halisi, Ali Kiba na kwa mara ya kwanza Wema Sepetu atapanda jukwaani na kuimba nyimbo za bebi wake Diamond,” alisema Maloto.
 
Staa wa Chuna Buzi, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akipozi.
Aidha, tamasha hilo litajumuisha michezo mbalimbali kama vile mpira wa miguu na ndondi ambapo mwaka huu Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba atazichapa na Mbunge wa Nzega, Hamis Kigwangala.
“Tutakuwa na mwanamuziki Khalid Chokoraa ambaye atazichapa ulingoni na Said Memba huku Bingwa wa Afrika Mashariki na Kati, Thomas Mashali akizitwanga na ‘mbunge mtarajiwa’, Mada Maugo.
“Ushindani mkali pia utawekwa na mastaa wa Bongo Movie, Cloud 112 na Jacob Steven ‘JB’ ambao siku hiyo watazipiga katika pambano la raundi 4,” alisema Maloto.
Maloto alimaliza kwa kusema kuwa kutakuwa na mechi kali kati ya Wabunge Mashabiki wa Yanga dhidi ya wenzao wa Simba huku timu ya Bongo Movie ikiingia uwanjani kumenyana na Bongo Movie.
Tamasha hilo limedhaminiwa na kampuni ya Vodacom, Pepsi, Azam TV, EFM (93.7), Clouds FM (88.5), Sycorp pamoja na Times FM (100.5).

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate