CHANZO: GLOBAL PUBLISHERS PREZIDAA
wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel Mbwana ‘Chaz Baba’
anadaiwa nusura amtoe roho mkewe wa ndoa, Rehema Sospeter Marwa baada ya
kumpiga na kitu kizito kichwani mpaka kushonwa nyuzi ishirini.
MANENO YA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo chetu
makini ambacho kipo karibu na wanafamilia hao (jina limehifadhiwa),
usiku wa Alhamisi iliyopita, kikiwa maeneo ya Kinondoni jijini Dar
kilishuhudia ugomvi huo baada ya kwenda kuangalia nani anamshushia
kipondo mwenzake.
Chanzo kilisema baada ya kufika, ndipo kiligundua kuwa, mwanamuziki huyo ndiye aliyekuwa akimpa kipondo mke wake.
“Dah! Kiukweli kile si kipigo cha kumpiga mke, hasira bwana ni kitu
cha ajabu sana. Chaz anatakiwa kujiangalia sana,” kilidai chanzo hicho.
MKE AFUNGUKA ‘EI TU ZEDI’
Baada ya taarifa hiyo,
juzi Ijumaa Wikienda lilimtafuta mwanamke huyo ili aeleze nini
kilitokea hadi mumewe kutaka kumkatishia maisha.“Nakumbuka siku ya tukio
nilikuwa supermarket maeneo ya Mwananyamala A (jijini Dar) nikinunua
unga wa ulezi wa mtoto, ghafla Chaz alitokea, akaniamuru niingie kwenye
gari alilokuwemo, tukaondoka kuelekea nyumbani.
“Tulipofika maeneo ya Kinondoni, pale Meridian ndipo niliposhtukia
naanza kupigwa. Nakumbuka nilipigwa hadi nikaishiwa nguvu mpaka akatokea
rafiki wa Chaz, Hassan Kisanora na kuniokoa, nikakimbilia nyumbani,”
alisema mwanamke huyo.
CHAZ ATOWEKA, ARUDI NA SAMAKI MKUBWA
Akiendelea
kuzungumza, mke huyo alisema: “Siku hiyo Chaz aliondoka na hakurudi
nyumbani mpaka alfajiri. Aliporudi aliniambia amekuja na samaki mkubwa,
yuko kwenye friji huku akisahau kuwa amenikosea na anatakiwa kuniomba
msamaha.
“Sikumjibu, ndipo alipochukua kitu kizito na kunipiga nacho kichwani,
baada ya hapo damu nyingi zikaanza kunitoka hadi puani, niliishiwa
nguvu na kupoteza fahamu.”
“Nilipokuja kuzinduka nilikuwa hospitali
kwa Dk. Mvungi, Kinondoni. Licha ya kwamba nampenda sana lakini alitaka
kuniua, hata sijui kisa.”
MADAI YA KUSHANGAZA; NDANI YA MIEZI TISA KICHAPO MARA 16
Katika kuweka mambo zaidi hadharani, mwanamke huyo aliyebahatika kupata
mtoto mmoja na mumewe, alikwenda mbele zaidi kwa kusema kuwa, tangu
afunge ndoa na Chaz miezi tisa iliyopita, ameshachezea kichapo mara kumi
na sita hivyo amechoka kufanywa ngoma.“Nimechoka kufanywa ngoma na
Chaz, ndoa ina miezi tisa tu nishapigwa mara kumi na sita kati ya hizo
nimezimia mara saba kama vipi bora afanye utaratibu anirudishe kwetu,”
alimalizia kusema.
CHAZ BABA, IJUMAA WIKIENDA
Baada ya kupata
maelezo ya mke, Ijumaa Wikienda lilimsaka kwa njia ya simu Chaz mwenyewe
ili azungumzie ishu hiyo ya mkewe kudai alimpiga ambapo alipopatikana
alifunguka hivi:
“Ni wivu tu kaka! Unajua mke wangu ana wivu mkali
sana, alianza kunipiga yeye mimi ndiyo nikamrudishia, hakukuwa na sababu
nyingine yoyote zaidi ya wivu,” alisema Chaz bila kufafanua.
SERIKALI YALAZIMISHA WATU KUFANYA MAZOEZI.
Serikali kupitia Mamlaka ya Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra)
imewalazimisha watu kufanya mazoezi ya lazima baada ya kufunga kituo cha
daladala cha Mwenge jijini Dar.
Gazeti hili limekuwa likishuhudia umati wa watu
asubuhi kati ya saa 1:00 na 2:00 wakitembea kutoka Makumbusho hadi
Mwenge, hali iliyotafsiriwa kuwa serikali imewalazimisha kufanya mazoezi
bila hiyari yao.
Wakizungumzia hilo, baadhi ya raia wanaofanya
kazi maeneo ya Mwenge na Mikocheni eneo la viwanda, wamesema baada ya
kufungwa kwa kituo hicho, wamekuwa wakilazimika kutembea umbali mrefu
asubuhi hivyo kuwafanya wanapofika maeneo yao ya kazi wawe wametoka
jasho sana.
“Unajua asilimia kubwa ya tuliokuwa tunashuka Mwenge ni wa kipato cha
chini, sasa baada ya kuhamishiwa Makumbusho, tunalazimika kutembea hadi
Mwenge. “Tunachukulia kama ni mazoezi kwani baadhi tangu kuhamishwa kwa
kituo hicho sasa hivi vitambi vimepungua kwa kutembea bila kupenda,”
alisema Salum Juma wa Mbagala.
Naye John Katuvi alisema: “Huku ni kulazimishwa kufanya mazoezi, mimi
nadhani serikali ifikirie upya uamuzi wa kuondoa kituo kile pale.“Ujue
siyo wote tunaweza kushuka Makumbusho na kuchukua tena usafiri mwingine,
ndiyo maana asubuhi utaona umati wa watu ukitembea, ukiwaona utadhani
wanafanya mazoezi kwa kupenda kumbe hawana nauli ya kuunganisha magari.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
HABARI MBALIMBALI
‘Dk. Cheni’
‘Sharo Milionea
‘Thea’
African Women
AGNESS MASOGANGE
AK CLASSIC COSMETICS
ALI KIBA
Amanda Poshy
Ant
ANT LULU
Ashley Toto
Aunt Ezekiel
Aunty Ezekiel
AUNTY LULU
Azam Fc
Baby Madaha
BAHATI BUKUKU
Barnaba
BATULI
BBA
Beauty of the day
Belle 9
BI KIDUDE
BIBI BOMBA
Big Brother
Big Brother Africa
Bill Gates
BINTI KIZIWI
BOB JUNIOR
Bodi ya Filamu
Bongo Movie
Bongo Movies
CCM
CHADEMA
Chombezo
Christina Shusho
Chuchu hans.
Clouds Media Group
Club Bilicanas
DAR LIVE
DAVINA
Dayna Nyange
Diamond
Dida
Diva Loveness Love
Dj Ommy Crazy wa Maisha Club
DOGO JANJA
DOKI
DR.CHENI
DSTV
Dude
Dully Sykes
EBSS 2013
Elizabeth Michael
Epiq Bongo Star Search (EBSS)
ESHA BUHETI
Ester Bulaya
Feza Kessy
FIESTA 2014
Flaviana Matata
FLORA MBASHA
FLORA MVUNGI
Francis Cheka
GARDNER
GLOAL PUBLISHERS
GLOBAL TV ONLINE
H. BABA
Halima Mdee
HAMISA
Happy birthday
Hemedi
Hemedy Suleiman
HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE
Hoyce Temu
Huddah Monroe
HUSINA
IRENE PAUL
Irene Uyoya
ISABELLA
J film 4 life
Jack Chuz
JACK PATRICK
Jacob Steven ‘JB’
Jacqueline Dustan
JACQUELINE WOLPER
Jaji Khamis 'Kashi'
Jay Dee
JENNIFER KYAKA (ODAMA)
JIDE
JINI KABULA
JK
JO
Johari
Jokate Mwigelo ‘Kidot’.
JOTI
Joyce Kiria
Joyce Kiwia
JUX
K-LYNN
KADINDA
kaja
Kajala Masanja
Kapotive Star Singers
KATUNI
Kemmy
Kero Zetu
KHADIJA OMAR KOPA
KIKWETUKWETU
KILI MUSIC AWARDS
KOLETA
Lady Jay Dee
Lady Jaydee
Lake Oil
LAVEDA
Linah Sanga
Linex
Lisa Jensen
Loveness Diva
Lucy Francis Komba
Lulu
M2 The P
MABILIONEA
Madam Rita
MADELA
Magazeti
Mahusiano
Maimartha Jesse
MAINDA
MAISHA
Makala
Malkia Elizabeth
MAMTEI
MANDELA
MARIAM ISMAIL
Masanja Mkandamizaji
Mashindano ya Miss Tanzania
Matangazo
Matonya
MaxMalipo
MAYA
MELLIS EDWARD
MENINAH
MGOSI MKOLONI
Mh Halima Mdee
mic
Michezo
MILLEN HAPPINESS MAGESE
MISS CHANG'OMBE
MISS DAR CITY CENTER
Miss East Africa
MISS REDD'S IRINGA 2013
MISS TANGA 2013.
MISS TANZANIA 2014
Miss Tanzania mwaka 2011
MISS TEMEKE 2014
MISS USTAWI
MISS UTALII TANZANIA 2012/13
Miss vyuo vikuu 2013
MKALA
MREMBO HUDDAH
Mrisho Mpoto
Mrisho Ngassa
MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES.
MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013
Mtitu
muziki
Mwana FA
MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Mzee Majuto
Nancy Sumari
Nani Mtani Jembe?
NAPE
Nassoro ‘Nora’
Natasha
Nay wa Mitego
Necta
Nelly Kamwelu
NEY WA MITEGO
Nisha
NSSF;Zantel
Nyamwela
NYimbo
Nyota yako
OBAMA TANZANIA
OMMY DIMPOZ
P FUNK
PAM D
Peniel Mgilwa ‘Penny’
PETIT MAN
Profesa Jay
Q - CHILA
Q Boy
Q Chilla
QUEEN DARLEEN
RACHEL NDAUKA
RAIS KIKWETE
Rais Kikwete.
Rasimu Ya Katiba TZ
Ray
Ray C
Redd’s Miss IFM
REDD'S MISS KAGERA 2013
REDD'S MISS TZ
REDDS MISS TANZANIA 2014
Redds Miss wa Mikoa
REHEMA FABIAN
RICHIE RICHIE
Rihanna
ROSE MUHANDO
Rose Ndauka
Ruge Mutahaba.
SABASABA 2013
Saida Karoli
Saikolojia
Sajeti
SAJUKI
Sandra
SHAA
Shamsa Ford
Sheikh Ponda
Shilole
Sintah
Siwema
Skin Tricks
Snura Mushi
Spika Makinda
staa
Staa Wetu
Stella Mwangi
STYLE ZA NYWELE
Taifa Stars
Tamasha la matumaini
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013
Tangazo
TANZANIA
TEGO
TENGENEZA WEBSITE NA BLOG
TID
Tundaman
Tupo wangapi?
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Twanga Pepeta
USA PAGEANT 2014
VAI
Wastara
WEMA
WEMA SEPETU
Yanga
Yanga Bingwa 2013
YOUNG D
Yvonne Cherry ‘Monalisa’
Z Anton.
Zari
Zito kabwe
No comments:
Post a Comment