Monday, September 15, 2014
JAJA KIDUME
Hans Mloli na Sweetbert Lukonge
TAMKA jina Jaja upate fedha! Tamka jina la Jaja uwape Yanga furaha! Tamka jina Jaja upate shangwe Jangwani! Mara baada ya mechi dhidi ya Azam FC kwenye Uwanja wa Taifa, jana jijini Dar es Salaam, Wanayanga wote walikuwa wakitamka jina la straika huyo Mbrazili aliyekuwa msaada mkubwa kwa timu yao kupata ushindi wa mabao 3-0.
Yanga imetwaa Ngao ya Jamii baada ya kuifunga Azam idadi hiyo ya mabao huku Geilson Santana ‘Jaja’ akifunga mabao mawili, moja likiwa la ufundi kiasi kwamba kuna mashabiki wa timu pinzani walisimama na kumpigia makofi.
Kwa ushindi huo wa kuukaribisha msimu mpya wa 2014/15, Yanga imeamsha morali ya mashabiki wake ikiwa ni siku chache baada ya kupata pigo la kumpoteza Emmanuel Okwi ambaye ametua Simba.
Yanga ikiongozwa na Kocha Marcio Maximo raia wa Brazil katika mchezo huo uliojaza watu kibao, ilionyesha soka zuri licha ya kubanwa katika kipindi cha kwanza na Azam ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara.
Azam ilianza mchezo huo kwa kasi huku kukiwa na mashambulizi ya kupokezana pamoja na kosakosa za hapa na pale, lakini mpaka dakika 45 za kipindi cha kwanza zinakamilika, hakuna timu iliyoona lango la mwenzake.
Mrisho Ngassa wa Yanga ambaye alibadilishana jezi na nahodha wa Azam, Salum Abubakar ‘Sure Boy’ wakati wa kuelekea mapumziko, alikuwa na makeke kadhaa kwenye kipindi hicho lakini alikuwa akikutana na kigingi cha beki mwenye mwili uliojengeka kimazoezi, David Mwantika.
Mpaka wanaenda mapumziko, Jaja alikuwa amepiga pasi 8, mipira ya vichwa 5, akiotea mara 2, ambapo pasi moja iliharibika, tofauti na straika wa Azam, Didier Kavumbagu ambaye alipiga pasi 11, vichwa 2, mashuti 2 golini lakini hakuotea.
Yanga walianza kufurahi katika dakika ya 56 baada ya Jaja kuunganisha pasi nzuri ya Simon Msuva huku mabeki wa Azam wakibaki wanatazamana.
Furaha ikiwa haijapoa, Jaja aliipatia Yanga bao la pili baada ya kufunga kiufundi katika dakika ya 65. Alipata mpira ndani ya 18, akafanya kama anapiga shuti, kipa wa Azam, Mwadini Ally, akajiandaa, lakini Mbrazili huyo akapiga kwa ‘kuuchop’ kidogo, hivyo Mwadini kujikuta akiutazama ukimpita kwa juu na kuingia wavuni taratibu.
Baada ya hapo, Yanga iliendelea kucheza soka zuri lakini alikuwa ni Jaja ambaye alipata shangwe nyingi hasa baada ya kupiga pasi za visigino, vitendo vilivyokuwa vikisababisha mashabiki kulipuka kwa furaha.
Simon Msuva alihitimisha furaha ya Yanga baada ya kufunga bao lililotokana na makosa ya Mwadini ambaye alienda kuupiga mpira akaukosa, kitendo kilichomfanya Msuva kubaki na lango, akautupia mpira kama hataki.
Katika mchezo huo kulikuwa na mabadiliko kadhaa kwa timu zote ambapo Yanga iliwatoa Said Juma na kuingia Hassan Dilunga, Nizar Khalfan akaingia Msuva, Jaja akapumzika na kumpisha Hussein Javu, Haruna Niyonzima alimpisha Hamis Kiiza.
Azam alitoka Leonel akaingia Hamis Mcha, Himid Mao alitoka na kuingia Kelvin Friday, Erasto Nyoni alipumzika na kuingia Gadiel Michael, Kipre Tchetche alimpisha Ismail Diarra.
Moja ya matukio yaliyowashangaza wengi ni kitendo cha Leonel raia wa Haiti alipotolewa kupitiliza moja kwa moja vyumbani badala ya kukaa kwenye benchi kama wenzake.
Baada ya mchezo kocha Marcio Maximo alisema: “Nafurahia ushindi na nawashukuru mashabiki waliojitokeza, Azam wana kikosi kizuri lakini nafurahi tumepata ushindi.”
Kwa upande wake Jaja alisema, “Nimefurahi baada ya kufunga mabao haya, nitajitahidi kuhakikisha kila mechi nafunga mabao.”
AZAM: Mwandini Ali, Erasto Nyoni, Shomari Kapombe, David Mwantika, Aggrey Morris, Michael Balou, Himid Mao, Salum Aboubakar ‘Sure Boy’, Didier Kavumbagu, Kipre Tchetche na Leonel Saint-Preux.
YANGA: Deogratius Munishi ‘Dida’, Juma Abdul, Oscar Joshua, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ Kelvin Yondani, Mbuyu Twite, Said Juma, Haruna Niyonzima, Genilson Santana ‘Jaja’, Mrisho Ngassa na Nizar Khalfan.
CHANZO: CHAMPIONI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
HABARI MBALIMBALI
‘Dk. Cheni’
‘Sharo Milionea
‘Thea’
African Women
AGNESS MASOGANGE
AK CLASSIC COSMETICS
ALI KIBA
Amanda Poshy
Ant
ANT LULU
Ashley Toto
Aunt Ezekiel
Aunty Ezekiel
AUNTY LULU
Azam Fc
Baby Madaha
BAHATI BUKUKU
Barnaba
BATULI
BBA
Beauty of the day
Belle 9
BI KIDUDE
BIBI BOMBA
Big Brother
Big Brother Africa
Bill Gates
BINTI KIZIWI
BOB JUNIOR
Bodi ya Filamu
Bongo Movie
Bongo Movies
CCM
CHADEMA
Chombezo
Christina Shusho
Chuchu hans.
Clouds Media Group
Club Bilicanas
DAR LIVE
DAVINA
Dayna Nyange
Diamond
Dida
Diva Loveness Love
Dj Ommy Crazy wa Maisha Club
DOGO JANJA
DOKI
DR.CHENI
DSTV
Dude
Dully Sykes
EBSS 2013
Elizabeth Michael
Epiq Bongo Star Search (EBSS)
ESHA BUHETI
Ester Bulaya
Feza Kessy
FIESTA 2014
Flaviana Matata
FLORA MBASHA
FLORA MVUNGI
Francis Cheka
GARDNER
GLOAL PUBLISHERS
GLOBAL TV ONLINE
H. BABA
Halima Mdee
HAMISA
Happy birthday
Hemedi
Hemedy Suleiman
HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE
Hoyce Temu
Huddah Monroe
HUSINA
IRENE PAUL
Irene Uyoya
ISABELLA
J film 4 life
Jack Chuz
JACK PATRICK
Jacob Steven ‘JB’
Jacqueline Dustan
JACQUELINE WOLPER
Jaji Khamis 'Kashi'
Jay Dee
JENNIFER KYAKA (ODAMA)
JIDE
JINI KABULA
JK
JO
Johari
Jokate Mwigelo ‘Kidot’.
JOTI
Joyce Kiria
Joyce Kiwia
JUX
K-LYNN
KADINDA
kaja
Kajala Masanja
Kapotive Star Singers
KATUNI
Kemmy
Kero Zetu
KHADIJA OMAR KOPA
KIKWETUKWETU
KILI MUSIC AWARDS
KOLETA
Lady Jay Dee
Lady Jaydee
Lake Oil
LAVEDA
Linah Sanga
Linex
Lisa Jensen
Loveness Diva
Lucy Francis Komba
Lulu
M2 The P
MABILIONEA
Madam Rita
MADELA
Magazeti
Mahusiano
Maimartha Jesse
MAINDA
MAISHA
Makala
Malkia Elizabeth
MAMTEI
MANDELA
MARIAM ISMAIL
Masanja Mkandamizaji
Mashindano ya Miss Tanzania
Matangazo
Matonya
MaxMalipo
MAYA
MELLIS EDWARD
MENINAH
MGOSI MKOLONI
Mh Halima Mdee
mic
Michezo
MILLEN HAPPINESS MAGESE
MISS CHANG'OMBE
MISS DAR CITY CENTER
Miss East Africa
MISS REDD'S IRINGA 2013
MISS TANGA 2013.
MISS TANZANIA 2014
Miss Tanzania mwaka 2011
MISS TEMEKE 2014
MISS USTAWI
MISS UTALII TANZANIA 2012/13
Miss vyuo vikuu 2013
MKALA
MREMBO HUDDAH
Mrisho Mpoto
Mrisho Ngassa
MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES.
MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013
Mtitu
muziki
Mwana FA
MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Mzee Majuto
Nancy Sumari
Nani Mtani Jembe?
NAPE
Nassoro ‘Nora’
Natasha
Nay wa Mitego
Necta
Nelly Kamwelu
NEY WA MITEGO
Nisha
NSSF;Zantel
Nyamwela
NYimbo
Nyota yako
OBAMA TANZANIA
OMMY DIMPOZ
P FUNK
PAM D
Peniel Mgilwa ‘Penny’
PETIT MAN
Profesa Jay
Q - CHILA
Q Boy
Q Chilla
QUEEN DARLEEN
RACHEL NDAUKA
RAIS KIKWETE
Rais Kikwete.
Rasimu Ya Katiba TZ
Ray
Ray C
Redd’s Miss IFM
REDD'S MISS KAGERA 2013
REDD'S MISS TZ
REDDS MISS TANZANIA 2014
Redds Miss wa Mikoa
REHEMA FABIAN
RICHIE RICHIE
Rihanna
ROSE MUHANDO
Rose Ndauka
Ruge Mutahaba.
SABASABA 2013
Saida Karoli
Saikolojia
Sajeti
SAJUKI
Sandra
SHAA
Shamsa Ford
Sheikh Ponda
Shilole
Sintah
Siwema
Skin Tricks
Snura Mushi
Spika Makinda
staa
Staa Wetu
Stella Mwangi
STYLE ZA NYWELE
Taifa Stars
Tamasha la matumaini
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013
Tangazo
TANZANIA
TEGO
TENGENEZA WEBSITE NA BLOG
TID
Tundaman
Tupo wangapi?
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Twanga Pepeta
USA PAGEANT 2014
VAI
Wastara
WEMA
WEMA SEPETU
Yanga
Yanga Bingwa 2013
YOUNG D
Yvonne Cherry ‘Monalisa’
Z Anton.
Zari
Zito kabwe
No comments:
Post a Comment