EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Friday, October 17, 2014

SKYLIGHT BAND YAENDELEA KUBAMBA NA MUZIKI WA LAIVU JIJINI DAR, TUKUTANE THAI VILLAGE JIONI YA LEO

DSC_0167
Kikosi kazi cha Skylight Band kikiongozwa na mkongwe wa muziki wa Live Joniko Flower, Meneja wa Band Aneth Kushaba AK47, Sam Mapenzi na Sony Masamba kwa pamoja wakiwapa raha mashabiki wa bendi hiyo (hawapo pichani) kwenye kiota cha maraha cha Thai Village Masaki jijini Dar Ijumaa iliyopita ambapo leo wataendelea kutoa kuwaburudisha mashabiki wake kama kawaida kuanzia saa tatu usiku.
DSC_0088
Wanaume wa shoka wa Skylight Band kutoka kushoto ni Joniko Flower, Sony Masamba na Digna Mbepera wakionyesha mbwembwe zao za kulisakata sebene kwa mashabiki wao, ambapo jioni ya leo watakuwepo kama kawaida kwenye kiota cha maraha Thai Village.

DSC_0102
Skylight Band wakiserebuka na burudani yao kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar Ijumaa iliyopita.
DSC_0113
Unajua siri ni nani anayemfanya Aneth Kushaba AK 47 kung'ara katika mambo ya Make Up?? si mwingine mfollow Instagram @timelesstz ukapendeze kama AK47.
DSC_0319
Pale Mashabiki wanapokunwa na burudani ya Skylight Band.
DSC_0118
Vocal zikiendelea kuporomoshwa kwa mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0027
NABOLINGOOOOO....! Binti mwenye kipaji cha pekee na sauti ya kumtoa nyoka pangoni Digna Mbepera akitoa burudani kwa mashabiki wanaojumuika na Skylight Band kula bata kila siku za Ijumaa ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0178
Sam Mapenzi akifanya yake jukwaani kuhakikisha mashabiki wa Skylight Band wanapata kitu roho inapenda.
DSC_0214
Mmoja wa mashabiki wakubwa wa Skylight Band akishow love mbele ya camera yetu huku wengine wakijinafasi kwa raha zao pale kati.
DSC_0256
Hashimi Donode aliamua kushaka jukwaani na kujumuika na baadhi ya wapenzi wa Skylight Band kwenye dancing floor.
DSC_0270
Raha zote hizi zinapatikana kila Ijumaa ndani ya Thai Village USIKOSE: Joniko Flower akiwaduarisha mashabiki wa Skylight Band walifurika kuianza week end yao na bendi ya kijanja ambayo ni habari ya mujini kwa sasa.
DSC_0265
Mashabiki wa Skylight Band wakijinafasi na mduara shurti wa nyuma aende mbele na wa mbele aende nyuma.....!
DSC_0263
Umati wa mashabiki wa Skylight Band ukiburudika na hii yote ni kutokana na burudani yenye viwango kutoka kwa waimbaji na wapigaji wa bendi hiyo.
DSC_0285
Wakinadada wakizungusha hizo nyonga zao. #MaunoYaKumwagaRadhi.
DSC_0289
TOPHY Bass akilicharaza gitaa huku Daudi Tumba akizichapa Tumba zake kwa ustadi kabisa.
DSC_0352
Calvin Michael a.k.a DJ-K'FLIP wa Jembe Beach Resort na Club Jembe anahusika kwenye moja na mbili kuendelea kuwapa bata mashabiki wa Skylight Band baada kumalizika kwa muziki wa Live ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0355
DJ-K'FLIP wa Jembe Beach Resort na Club Jembe ya jijini Mwanza akishow love na Joshua Ndege.
DSC_0361
Kutoka kushoto ni Rais wa Wanamanyoya Family a.k.a #Sultan Gijegije, Eddievied na Luhano Lupogo wakiwakilisha #Wanamanyoya na ukodak.
DSC_0299
Mdau Andrew akishow love na warembooozzzz walipokuja kula bata na Skylight Band.
DSC_0347
Aneth Kushaba AK47 akishow love na Kaka yake Man Kushaba aliyekuja kushuhudia kipaji cha dada yake.
DSC_0298
Birthday Boy Professor Kingu (kushoto) akipata ukodak na mdau wa Skylight Band David.
DSC_0346
Birthday boy mwingine mratibu wa Skylight Band Lubea (kulia) akipata ukodak na Babu wa Kitaa na mdau.
DSC_0136
Man kushaba (kushoto) akishow love na marafiki.
DSC_0150
Mdau Faraja Fares (kushoto) akipata ukodak na marafiki.
DSC_0186
Divas wa Skylight Band wakipata ukodak.
DSC_0120
Wanamanyoya Family wakiwa na Rais wao Sultan Gijegije wa Oman.
DSC_0328
Mdau kubwa wa Skylight Band Jimmy JO akipata ukodak na Hashim Donode wa Skylight Band.
DSC_0333
DSC_0357
Sam Mapenzi wa Skylight Band akishow love na mashabiki wake.
DSC_0175
Blogger King Kif akishow love na wadau wa Skylight Band Ijumaa iliyopita.
DSC_0330
Hashim Donode na wadau wakubwa wa Skylight Band.
DSC_0148
Wadau wa Skylight Band wakipunga upepo kwenye bustani ndani ya kiota cha Thai Village.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate