EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Friday, December 12, 2014

WAKATI DIAMOND AKIMTESA NA ZALI, WEMA AJIBU MAPIGO

Habari ya mjini! Gumzo katika ulimwengu wa mastaa Bongo ni kitendo cha mkali wa muziki wa Kizazi Kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuendelea kujiachia na staa wa mrembo mwenye maskani yake nchini Uganda na Afrika Kusini ‘Sauz’, msanii Zarinah Hassan ‘Zari’ au ‘The Boss Lady’ huku aliyekuwa ‘kiburudisho’ wa jamaa huyo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ akijibu mapigo kwa kumnasa mwigizaji Joseph Van Vicker wa Ghana, Ijumaa lina sarakasi nzima.
Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye akimbusu Van Vicker kimahaba.
WEMA ATIMKIA GHANA
Wakati Diamond akitimkia Marekani kwenda kutumbuiza kwenye sherehe za 53 za Uhuru wa Tanganyika kwa Wabongo waishio nchini humo (Diaspora), Desemba 9, mwaka huu, Wema yeye alitimkia kwenye Mji Mkuu wa Ghana jijini Accra kuungana na Van Vicker kwa ajili ya ‘projekti’ kama ilivyokuwa kwa Diamond na Zari.
Habari za uhakika zilizothibitishwa na Wema mwenyewe zilieleza kwamba yupo nchini humo kwa ajili ya kurekodi filamu huku wawili hao wakiwa ndiyo wahusika wakuu.
PICHA ZA MAHABA NIUE
Mapema Jumanne iliyopita, picha za mahaba niue za mastaa hao zilianza kuvuja kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii huku kila mmoja akimsifia mwenzake kuwa ni mkali.
Wema Sepetu akimkumbatia Van Vicker kwa hisia.
VICKER AMSIFIA WEMA
“Nasisimka na napenda namna unavyofanya na kuipenda kazi yako. Nafurahi kufanya kazi na wewe,” aliandika Van Vicker akimsifia Wema ambaye naye alizipokea sifa hizo kwa mikono yote.
MABUSU
Baadaye waliachia picha nyingine kali zaidi ambazo ziliwaonesha wawili hao wakiwa kimahaba zaidi ambapo Wema alionekana akimbusu jamaa huyo kwa hisia kali.

KUMBE WEMA ALIPATA MWALIKO
Habari kutoka kwa mmoja wa wasimamizi wa Wema aliyeomba hifadhi ya jina zilieleza kwamba, hivi karibuni mwanadada huyo alipokea mwaliko wa kucheza sinema nchini Ghana kutoka kwa Van Vicker na wala hakuwa na kipingamizi kwani ni fursa aliyokuwa akiisubiri kwa muda mrefu.
“Ndiyo imetoka hivyo, sasa hivi ni mwendo wa kimataifa zaidi, hakuna kulala hadi kieleweke,” alitamba mmoja wa mameneja wa Wema na kuongeza:
“Mpango ulianza tangu kipindi kile Van Vicker alipokuja Bongo kuigiza na Mzee Chilo (Mohamed Olotu). Kilichokuwa kinasubiriwa ni mipango tu ikamilike.”
Wema Sepetu na Van Vicker wakiwa kwenye pozi.
ANAMLIPIZA DIAMOND?
“Hakuna, hayo ni mambo ya kizamani, mbona ishu ilikuwepo hata kabla ya kummwaga Diamond? Unajua hizi timu ndiyo zinakuza mambo tu lakini hawayakuzi kwa ubaya, ni namna walivyo na mapenzi na msanii wao.”
TEAM WEMA VICHEKO
Katika hali ya kushtua, ghafla wafuasi wa Wema (Team Wema) waliokuwa wamezimwa na wale wa Diamond (Team Diamond) katika mitandao ya kijamii waliibuka upya.
Safari hii walikuwa wakiachia vicheko na kujisifia kwamba wao ni muziki mnene hivyo hawawezi kushindana na watoto wadogo.
“Huyo bibi bomba (Zari) si lolote. Cheki Madam (Wema) kavuka mipaka hadi Afrika Magharibi. Mtangoja sana. Sasa ni taifa kwa taifa hadi kieleweke,” ilisomeka sehemu ya maoni ya Team Wema kwenye Instagram na kupata dolegumba (likes) nyingi.
Mkali wa muziki wa Kizazi Kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akipozi na Zarinah Hassan ‘Zari’ au ‘The Boss Lady.
TEAM DIAMOND NAO
Kwa upande wao, Team Diamond nao walikuja juu na kuwapa makavu Team Wema kuwa watangoja sana kwani tayari jamaa siyo wa Afrika tena bali duniani kote.
VAN VICKER NI NANI?
Van Vicker amezaliwa mwaka 1977 ambapo ameoa na amejaliwa kuwa na watoto wanne.
Ni mwigizaji mkubwa barani hasa Afrika Magharibi akiwa amejijengea jina katika tasnia ya filamu nchini Ghana ya Ghollywood na Nigeria huko Nollywood akiwa ni mkurugenzi wa kampuni kubwa ya kuzalisha sinema ya Sky + Orange Productions.
AMEIGIZA SINEMA GANI?
Baadhi ya filamu alizocheza ni pamoja na Divine Love, Neat Job, Friday Night, The Hands of Time, One Night in Vegas, Total Love, When One Door Closes, Amina, Unstopable na nyingine kibao.
Mkali katika tasnia ya filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye.
SINEMA ALIZOIGIZA WEMA
Akiwa anamiliki kampuni yake ya kuzalisha sinema ya Endless Fame Productions, baadhi ya filamu alizoigiza Wema ni pamoja na Point of no Return, Red Valentine, Family Tears, The Super Star,  House Boy, Crazy Tenant, Basilisa, Lerato, The Diary, Tafrani, Sakata, White Maria na nyingine.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate