EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Monday, December 8, 2014

ZARI WA DIAMOND KWISHA!

BUUUU! Hizo ndizo kauli zilizozagaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii mara baada ya habari ya kurekodiwa video ya utupu ya mwanadada anayedaiwa kuwa mwandani mpya wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’ au ‘The Boss Lady’ kuchapishwa gazetini nchini Uganda, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili.
Pichani ‘Zari’, ‘The Boss Lady’ akiwa mtupu.
GAZETI GANI?
Gazeti la Red Pepper la Desemba 5, mwaka huu ndilo lililomponza mwanadada huyo kwa kuripoti kuvuja kwa video ya utupu ya mrembo huyo na kusababisha aonekane hafai mbele ya jamii. Wadau wengi wakaanza kuhoji kwa nini akubali kurekodiwa video hiyo wakati yeye ni mtu mzima tena mama wa watoto watatu?
VIDEO YAZUA GUMZO
Vyanzo tofauti mitandaoni vimeielezea video hiyo. Kuna ambavyo vimedai kuwa mwanadada huyo alirekodiwa ‘akijichua’ mwenyewe huku vyanzo vingine vikienda mbali zaidi kwa kudai alirekodiwa akivunja amri ya sita na mpenzi wake wa zamani.
ZARI AFUNGUKA
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Zari mwenye maskani yake nchini Uganda na Afrika Kusini, aliandika kuwa mtu aliyevujisha video hiyo chafu alikuwa na lengo la kumharibia shoo yake anayotarajia kuifanya Desemba 18, mwaka huu inayofahamika kama Zari All White Party lakini hawatafanikiwa.Zari, ‘The Boss Lady’ akipozi.
“Hii ni kwa mashabiki wangu wote duniani, vyombo vya habari vya Uganda vimenichafua kwa kuingilia uhuru wangu pamoja na familia yangu ili kuniharibia na picha hizi za zamani... katika akili yangu najua kabisa picha zilizotoka leo (Ijumaa iliyopita) kwenye Gazeti la Red Pepper zimevujishwa na mtu kwa madhumuni yake binafsi.

“Kimsingi sitashindwa, shoo itafanyika kama kawaida na Diamond atakuwepo kama kawaida. Niwahakikishie tu nitachukua hatua za kisheria kwa yeyote aliyehusika kunichafua,” aliweka nukta Zari.
GAZETI LAKOMAA
Licha ya mwanadada huyo kudai atawafikisha kwenye mikono ya sheria wahusika wote, bado ilielezwa kuwa gazeti hilo lilizidi kukomaa na kudai wana ushahidi wa kutosha.
Zari, ‘The Boss Lady’ akila ujana.
WABONGO SASA
Mara baada ya habari hiyo kuzagaa mitandaoni, Wabongo walilipuka kama moto wa kifuu na kuanza kutoa maoni kuhusu mrembo huyo ambapo wengi walidai ni mara mia Diamond angeendelea kuwa na Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu ‘Madam’ kuliko Zari.
“Mmeona sasa mtu ambaye Diamond aliona amepata kumbe si lolote si chochote, mtu mwenye akili zake atakubalije kurekodiwa video ya utupu? Kwa kweli mara mia Diamond angebaki na Wema wake ambaye hana skendo kubwa kama hii, Zari kwisha kabisa, hapa ndiyo mwisho wake, aibu ya mwaka hii,” alichangia mdau mmoja mtandaoni.
MWINGINE AMTETEA
Pamoja na wadau wengi kumponda Zari na kudai ndiyo mwisho wa heshima yake, kuna mdau mwingine mtandaoni alimtetea mrembo huyo anayefanya muziki kuwa ni mwanamke jasiri na Diamond anatakiwa kuwa pamoja naye kuhakikisha wanaizima skendo hiyo, waendelee kufanya yao.
“Kiukweli nimempenda Zari, anajiamini hakuona umuhimu wa kuomba radhi maana anajua ni vitu ambavyo alivifanya kabla hajakutana na Diamond,” alichangia mdau mmoja mtandaoni.
Zari, ‘The Boss Lady’ akiwa na 'Diamond'.
TIMU WEMA VICHEKO
Wakati saga hilo likizidi kupata ‘kavareji’ mitandaoni, wafuasi wa Wema (Timu Wema) waliashiria kufurahia kitendo cha mrembo huyo kurekodiwa video hiyo ya utupu.
“Safii, si alijifanya anajua kutuchukulia shemeji letu sasa limemshuka shuuu...akome,” mmoja wa memba wa Timu Wema alitupia komenti yake.
HATA HIVYO
Hata hivyo, ikumbukwe kwamba, Wema ndiyo alimmwaga Diamond na si Diamond kummwaga Wema wala kumwagana!
TUJIKUMBUSHE!
Zari na Diamond wanaodaiwa kuzalisha penzi jipya hivi karibuni (project), kila kukicha wamekuwa wakinadi urafiki wao mitandaoni huku kila mmoja akionesha kumsapoti mwenzake kimuziki ambapo Desemba 18, mwaka huu wameahidi kufanya bonge la shoo nchini Uganda.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate