EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Thursday, January 8, 2015

DOKTA: JK MUOKOE RAY C

STORI: MAYASA MARIWATA NA SHANI RAMADHANI /GPL
DOKTA mmoja wa Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar (jina lipo) ameibuka na kumtaka  Rais Jakaya Kikwete ‘JK’ aliyewahi kubeba jukumu la kuitengeneza afya ya Mbongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ asimamie tena jukumu hilo ili kuokoa maisha ya msanii huyo.
Dokta huyo aliyasema hayo juzi katika mahojiano na Amani kufuatia madai kwamba, Ray C hana mahudhurio mazuri kwenye kliniki ya kuchukua dawa za kuponya mtu aliyeathirika na matumizi ya madawa ya kulevya au maarufu kwa jina la ‘unga’.
“Jamani, naamini mnajua kuwa Ray C anatibiwa katika kliniki ya waathirika wa madawa ya kulevya hospitalini kwetu lakini mimi sifurahii mwenendo wake kwa ujumla.“Ray C haendi sawasawa katika tiba. Ni hatari kwake, tena hatari sana.“Dada yetu huyu aliacha kabisa kutumia haya madawa kipindi fulani lakini sasa mwenendo wake kwenye kliniki si mzuri.

“Hizi habari tumezipata kutoka kwa wenzake anaotumia nao dozi. Unajua wale hawana siri. Ray C anatumia dawa za Methadone kama kawaida. Lakini nahofia kama mwenendo wake utakuwa kama zamani, Methadone ni hatari kwani haichanganywi na sumu nyingine mwilini,” alisema dokta huyo.
Akaongeza: “Mtu akiacha matumizi ya madawa ya kulevya na kuanza kutumia Methadone ambazo zinadumu kwa muda wa saa 24 hadi 26 mwilini kwa kutumia dozi moja kwa siku, akitumia kitu chenye sumu inakuwa ni hatari katika maisha.
Baadhi ya madawa ya kulevya yanayogharimu nguvu kazi ya Taifa.
AMWONYA RAY C
Dokta huyo alikwenda mbele zaidi kwa kusema kuwa, anamwonya Ray C, kutokuwa mhudhuriaji mzuri kliniki asije akajikuta anabobea katika matumizi ya unga kwani kwa kufanya hivyo atakaribisha hatari ya maisha yake.
“Ray C asije akabobea tena kwenye unga. Unga na Methadone ni vitu viwili tofauti kabisa. Ukitumia Methadone halafu ukatumia unga, dozi ikizidi kifo ni nje nje,” alisema dokta huyo.Aliongeza kusisitiza kwamba, utaratibu alioutumia JK kumsaidia awali Ray C anamwomba chondechonde kurudia tena na safari hii ampe usimamizi wa hali ya juu.
Kufuatia taarifa hizo, Amani juzi hiyohiyo lilimtafuta Ray C kwa njia ya simu ambapo alipoulizwa kuhusu mahudhurio yake hafifu kliniki, alikuja juu akisema si kweli.Amani: ”Au utakuwa umerudia mambo yale Ray C? Inawezekana kweli?”Ray C: “Si kweli nimesema, we andika uone nitakachowafanyia, nitawafikisha mahakamani na kuwamaliza.”

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate