EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Monday, April 20, 2015

MASTAA WANAOONGOZA KWA SKENDO ZA NGONO

Mwandishi wetu
Mastaa mbalimbali wa Bongo wamekuwa wakiandamwa na skendo huku baadhi wakiona ndiyo njia ya kujing’arisha kisanii.Skendo zao zimekuwa za aina mbalimbali lakini wengi wamekuwa wakiandamwa na skendo za ngono.Katika makala haya utaipata Top 10 ya mastaa wa kike waliondamwa na skendo za ngono. Baadhi wamekumbwa na skendo za kunaswa kwenye mitego ya kujiuza na wengine wakiingia kwenye listi hii kutokana na tabia ya kubadili wanaume kama nguo.
Kwa maana hiyo kumi bora hii itawagawa katika Kundi A na B ambapo Kundi A ni la wale ambao walikanyaga skendo ya kujiuza na Kundi B ni la waliogandwa na skendo ya ngono kwa tabia zao za kubadili wanaume.
KUNDI A
Mmoja kati ya mastaa wanaoingia kwenye kundi hili ni Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’. Huyu aliwahi kuwekewa mtego na kunaswa baada ya kukubali kujiuza kwa mwanaume aliyemtajia dau kubwa na hatimaye akaingia mkenge.

Lulu Semagongo; aliwahi kuingia kichwakichwa kwenye mtego kama wa Jack Chuz ambapo naye aliwahi kutegeshewa mwanaume na kuulizwa kama anaweza kukubali kuuza ngono kwa kiasi gani.
Kuashiria kuwa ndo’ zake, akitoa dau lake na mchezo ukaenda hadi gesti ambapo alifumwa laivu na mwanaume huyo kitandani.Baby Madaha; Licha ya kipindi f’lani kudaiwa kuwa kwenye uhusiano na meneja wake aitwaye Joe Kairuki, aliwekewa mtego kwa kutumiwa meseji na mwanaume kuulizwa kama wanaweza kukutana faragha na kwa kiasi gani ambapo naye alitoa dau lake.
Hata hivyo, baadaye alishtukia mchezo licha ya mawasiliano yake na mwanaume huyo kuonekana wazi kwamba alikuwa anaelekea kuingia kingi. Isabella Francis ‘Vai wa Ukweli; Naye aliwahi kudaiwa kuyaendesha maisha yake kwa kuigiza na kujiuza pia, akawekewa mtego kama ilivyo kwa wenzake na siku ya tukio, alifika hadi ‘kiwanja’ huku akisisitiza kwamba fedha mbele. Kutokana na maelezo yake hayo, ikaonekana ni kweli huwa anafanya k’abiashara hako’ haramu.
KUNDI B
Hili ni wale ambao wanasifika kwa katabia ka’ kubadili wanaume kama nguo.
Elizabeth Michael ‘Lulu’; Kiumri anaonekana mdogo lakini naye yumo. Huyu aliwahi kuripotiwa kuwa kwenye uhusiano wa siri na marehemu Steven Kanumba kisha baadaye akadaiwa kutoka na mheshimiwa John Komba (marehemu ambaye aliwahi kukanusha uvumi huo).
Pia binti huyo anadaiwa kuwa eti alikuwa mpenzi wa huyu bilionea wa Arusha aliyefariki dunia, juzikati aitwaye Lusekelo Samson ‘Seki’ ambaye kuna kipindi pia Husna Maulid na Lulu waliwahi kudaiwa kugombana kisa kikiwa ni mwanaume huyo.
Wema Sepetu
Ukiacha wale ambao sisi hatuwajui, Wema amekuwa na msururu wa wanaume huku staili yake ikiwa ni ile ya bandika-bandua. Wanaume ambao wengi ni mastaa waliowahi kumgusa ni Herry Samir ‘Mr Blue’, marehemu Steven Kanumba, Hartman Mbilinyi, Yusuf Jumbe, Chaz Baba, CK na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Huyu pia aliwahi kupiga picha za utupu kadhaa katika kipindi chake cha ustaa, hali inayomfanya afiti kwenye Top 10 hii.
Jokate Mwegelo; ni mwanadada anayeonekana mpole sana lakini naye hawezi kukosekana kwenye orodha hii. Ni kati ya mastaa waliowahi kuwa na uhusiano na wanaume mbalimbali wakiwemo Hasheem Thabit, Diamond aliyempora kutoka kwa Wema na wengine ambao amekuwa akifanya siri.Pia ni kati ya mastaa wanaopenda sana kupiga picha za nusu utupu, tabia inayomfanya wakati mwingine atafsiriwe kuwa anatangaza biashara.
Jacqueline Wolper; Anaingia kwenye orodha hii kutokana na ukweli kwamba amekuwa akibadili wanaume mara kwa mara huku wakati mwingine akiingia kwenye migogoro ya kugombea wanaume.Aliwahi kuingia kwenye mvutano na Husna Maulid wakimgombea mwanaume aitwaye Radjabu Mwami. Pia mwanadada huyu amekuwa akihusishwa na kale kamchezo ka’ usagaji ambapo mwenyewe amekuwa akikanusha mara kwa mara.
Agness Gerald ‘Masogange’; Nani asiyemjua mwanadada huyu kwa kupiga picha za nusu utupu huku akidaiwa kuwa ni mmoja wa mastaa ambao wanaendesha maisha yao kwa kutegemea wanaume?Mkanda wake wa ngono uliwahi kuvuja na mwenyewe amekuwa hajali kulianika umbo lake tata.
Stara Thomas; ni staa ambaye amekuwa kwenye gemu la muziki kwa muda mrefu.  Naye anaingia kwenye orodha hii kutokana na madai kuwa, aliwahi kuwa kwenye uhusiano wa siri na marehemu Adam Kuambiana. Pia hivi karibuni mwanaume aliyedaiwa kuwa ni mumewe aitwaye Raumu Ally alimfumania na mwanaume mwingine.
Hao ni baadhi ya mastaa ambao wanaingia kwenye orodha.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate