EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Tuesday, April 7, 2015

WAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI KUDUMISHA AMANI NCHINI

Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama na mkewe wakimkaribisha jukwaani Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe pichani kulia ni Askofu David Mwasota wa Kanisa la Naioth Gospel Assembly
Pichani kulia ni Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama akizungumza jambo na Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe,kati ni Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Fenella Mukangara (kulia), Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Angella Kairuki.
 Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe akiwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Fenella Mukangara (kulia), Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Angella Kairuki na Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama na Mkewe.
 Askofu David Mwasota wa Kanisa la Naioth Gospel Assembly akisoma hotuba amempongeza Mhe. Bernard Membe kwa kujumuika na Watanzania katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka ililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015.
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe ambaye alikuwa mgeni rasmi akiongea katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka ililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015. Pembeni ni Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama.

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe ametoa rai kwa viongozi wa dini zote pamoja serikali kuhimiza vijana waipende dini ili kudumisha amani, utulivu na uadilifu.Mhe Membe amesema hayo wakati akihubutibi maelefu wa watu waliohudhuria Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015.
Askofu David Mwasota wa Kanisa la Naioth Gospel Assembly akisoma hotuba  amempongeza Mhe Bernard Membe kwa kujumuika na Watanzania katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka.Katika Tamasha hilo la Pasaka, Kampuni ya Msama Promotions, ambao ndio waandaji wa Tamasha hilo, wamemtunuku Mhe. Rais Jakaya Kikwete kwa mchango wake katika kukuza tasnia ya Sanaa nchini.

Tuzo ya heshima ilitolewa kwa Rais Mstaafu, Mhe. Ali Hassan Mwinyi.
Mhe Bernard Membe alitunukiwa tuzo kwa mchango wake kwa shughuli za kijamii.Tuzo zimetolewa kwa vyombo mbalimbali vya habari nchini kwa michango yao katika kutangaza Tamasha la Pasaka.

Viongozi wa Serikali waliohudhuria Tamasha hilo ni pamoja na Mhe. Fenella Mukangara, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Angela Kairuki, Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, na Mhe. Paul Makonda, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni.Tamasha hilo lilihudhuriwa na viongozi wa kidini wakiwemo, Askofu David Mwasota wa Kanisa la Naioth Gospel Assembly na Mchungaji Mwasota.
Mgeni rsami Mh.Membe akimkabidhi tuzo ya heshima Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Fenella Mukangara kwa niaba ya Rais Mstaafu, Mhe. Ali Hassan Mwinyi.
 Mhe Bernard Membe alitunukiwa tuzo kwa mchango wake kwa shughuli za kijamii.
  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe akinyanyua juu tuzo aliyotunukiwa kwa mchango wake mkubwa kwa shughuli mbalimbali za kijamii. 
 Keki ikikatwa kwa pamoja kama sehemu ya ishara ya amani na upendo.
 Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe akishirikiana na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Fenella Mukangara (kulia) na Mchungaji Mwasota kukata keki. Aanayeshudia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Angella Kairuki.
  Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe akimlisha keki Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Fenella Mukangara
 Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe akimlisha keki Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama na mkewe.
  Sehemu ya umati wa Watu waliohudhuria Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015.
 Sehemu ya umati wa watu 
 Kwaya ya Kijitonyama wakiimba katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015. 
 Sehemu ya umati wa watu
 Waimbaji wa Kwaya ya Kijitonyama jukwaani
 Uimbaji wa hisia ulitawala kwenye tamasha hilo. 
 Keki iliyokatwa ilipitishwa pia kwa watazamaji mbalimbali na kujipatia japo kipande. 
 Mwimbaji John Lissu na waimbaji wake pichani juu wakilishambulia jukwaa vilivyo. 
 Shabiki wa nyimbo za injili akionekana kuguswa
 Ilikuwa ni shangwe za furaha kwa aliyekuwa akiguswa na nyimbo za kiroho.
 Mdau wa muziki wa Injili Emmanuel Mbasha akipa kitu cha Selfie na rafiki yake ndani ya uwanja wa Taifa wakati tamasha Pasaka lililofanyika April 5 jijini Dar na kuhudhuriwa na maelfu ya watu
  Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika Kusini anayefahamika kwa jina la Rebecca Malope akitoa burudani katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015.
 Baadhi ya Waimbaji wa Rebecca Malope wakiimba jukwaani.
 Kila mmoja aliyefika kwenye tamasha hilo la pasaka aliburudika na kuguswa kwa aina yake.
   Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika Kusini,Rebecca Malope akitoa burudani katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015.
 Rebecca Malope akiimba kwa hisia
  Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika Kusini Rebecca Malope akitoa burudani katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015. 
 Mwanamuziki wa Kimataifa wa nyimbo za Injili kutoka nchini Afrika Kusini,Rebecca Malope akicheza na shabiki wake kwa staili ya pekee kabisa,huku uwanja ukilipukwa na mayowe kila kona.
 Wengine waliamua kuburudika kwa hivi 
 Mwanamuziki Rebecca Malope akionesha umahiri wa kuziteka hisia mashabiki wake kwa kuzunguka nao uwanjani
 Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika Kusini, Mchungaji Solly Mahlangu mwanamuziki nguli akiimba na kucheza  katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015. 
 Kwa kile aliyekuwa akiguswa na nyimbo za injili ilikuwa ruksa kuinua mikono hewani kama hivi pichani.
 Mwimbaji wa Nyimbo za Injili, Joshua na vijana wake wakilishambulia jukwaa
 Sehemu ya umati wa watu wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye jukwaa la tamasha la pasaka.
Mwimaji Chritina Shusho akiimba katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015.. 
 Mwimbaji mahiri wa nyimbo za Injili nchini,Rose Mhando akiwasha moto wa kamata pindo la Yesu katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015.
 Mgeni Rasmi wa tamasha la Pasaka,Mh Bernard Membe akimuelezea jambo Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotions Ltd,Bwa.Alex Msama
 Uingereza  na Zambia. 
Mgeni rsami Mh.Membe akimkabidhi tuzo ya heshima Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Fenella Mukangara kwa niaba ya Rais Mstaafu, Mhe. Ali Hassan Mwinyi.
 Mhe Bernard Membe alitunukiwa tuzo kwa mchango wake kwa shughuli za kijamii.
  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe akinyanyua juu tuzo aliyotunukiwa kwa mchango wake mkubwa kwa shughuli mbalimbali za kijamii. 
 Keki ikikatwa kwa pamoja kama sehemu ya ishara ya amani na upendo.
 Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe akishirikiana na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Fenella Mukangara (kulia) na Mchungaji Mwasota kukata keki. Aanayeshudia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Angella Kairuki.
  Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe akimlisha keki Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Fenella Mukangara
 Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe akimlisha keki Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama na mkewe.
  Sehemu ya umati wa Watu waliohudhuria Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015.
 Sehemu ya umati wa watu 
 Kwaya ya Kijitonyama wakiimba katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015. 
 Sehemu ya umati wa watu
 Waimbaji wa Kwaya ya Kijitonyama jukwaani
 Uimbaji wa hisia ulitawala kwenye tamasha hilo. 
 Keki iliyokatwa ilipitishwa pia kwa watazamaji mbalimbali na kujipatia japo kipande. 
 Mwimbaji John Lissu na waimbaji wake pichani juu wakilishambulia jukwaa vilivyo. 
 Shabiki wa nyimbo za injili akionekana kuguswa
 Ilikuwa ni shangwe za furaha kwa aliyekuwa akiguswa na nyimbo za kiroho.
 Mdau wa muziki wa Injili Emmanuel Mbasha akipa kitu cha Selfie na rafiki yake ndani ya uwanja wa Taifa wakati tamasha Pasaka lililofanyika April 5 jijini Dar na kuhudhuriwa na maelfu ya watu
  Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika Kusini anayefahamika kwa jina la Rebecca Malope akitoa burudani katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015.
 Baadhi ya Waimbaji wa Rebecca Malope wakiimba jukwaani.
 Kila mmoja aliyefika kwenye tamasha hilo la pasaka aliburudika na kuguswa kwa aina yake.
   Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika Kusini,Rebecca Malope akitoa burudani katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015.
 Rebecca Malope akiimba kwa hisia
  Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika Kusini Rebecca Malope akitoa burudani katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015. 
 Mwanamuziki wa Kimataifa wa nyimbo za Injili kutoka nchini Afrika Kusini,Rebecca Malope akicheza na shabiki wake kwa staili ya pekee kabisa,huku uwanja ukilipukwa na mayowe kila kona.
 Wengine waliamua kuburudika kwa hivi 
 Mwanamuziki Rebecca Malope akionesha umahiri wa kuziteka hisia mashabiki wake kwa kuzunguka nao uwanjani
 Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika Kusini, Mchungaji Solly Mahlangu mwanamuziki nguli akiimba na kucheza  katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015. 
 Kwa kile aliyekuwa akiguswa na nyimbo za injili ilikuwa ruksa kuinua mikono hewani kama hivi pichani.
 Mwimbaji wa Nyimbo za Injili, Joshua na vijana wake wakilishambulia jukwaa
 Sehemu ya umati wa watu wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye jukwaa la tamasha la pasaka.
Mwimaji Chritina Shusho akiimba katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015.. 
 Mwimbaji mahiri wa nyimbo za Injili nchini,Rose Mhando akiwasha moto wa kamata pindo la Yesu katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015.
 Mgeni Rasmi wa tamasha la Pasaka,Mh Bernard Membe akimuelezea jambo Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotions Ltd,Bwa.Alex Msama

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate