KATIKA
hali isiyokuwa ya kawaida, wadada wa mjini waliodaiwa kuwa machangu
walimpa wakati mgumu, staa wa Bongo Dansi, Ally Choki ‘Mzee wa Farasi’
baada ya kumvamia jukwaani na kumfanyia mambo ya hovyo.Wednesday, June 25, 2014
MACHANGU WAMVAA CHOKI
KATIKA
hali isiyokuwa ya kawaida, wadada wa mjini waliodaiwa kuwa machangu
walimpa wakati mgumu, staa wa Bongo Dansi, Ally Choki ‘Mzee wa Farasi’
baada ya kumvamia jukwaani na kumfanyia mambo ya hovyo.MATAIFA 31 KUSHIRIKI MAONESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA DAR ES SALAAM (MAARUFU KAMA SABASABA)
MKURUGENZI
Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade),
Jacquiline Maleko, akizungumza na waandishi wa haabari kuhusiana na
kuingia Ubia na kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom, Kama mdhamini Mkuu
wa Mawasiliano wakati wa maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa Dar es
Salaam yatakayo anza 28 juni na kumalizika julai 8 mwaka huu. Kulia ni
Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Masoko wa Vodacom Tanzania, Kelvin
Twissa.
MKURUGENZI
Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade),
Jacquiline Maleko na Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Masoko wa Vodacom
Tanzania, Kelvin Twissa, wakioneshwa na Mwanasheria wa TanTrade, Godwin
Mutahangarwa,(Kushoto) Mkataba wa Udhamini wa maonesho ya 38 ya Biashara
ya Kimataifa Dar es Salaam yatakayo anza 28 juni na kumalizika julai 8
mwaka huu.
MKURUGENZI
Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade),
Jacquiline Maleko, akipitia Mkataba wa Udhamini wa maonesho ya 38 ya
Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam yatakayoanza 28 juni na kumalizika
julai 8 mwaka huu. Wanaoshuhudia ni Mkuu wa Idara ya Masoko na
Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa (Kulia) na Mwanasheria wa
TanTrade, Godwin Mutahangarwa (Katikati)Tuesday, June 24, 2014
SANGOMA AINYWESHA FAMILIA DAWA
MGANGA mmoja wa jadi, hivi karibuni alikusanya umati
mkubwa wa watu baada ya kuinyeshwa dawa familia nzima ya mwanamke
aliyemleta kwa lengo la kumfanyia uganga ili kumrejesha mtoto wake
aliyepotea katika mazingira ya kutatanisha mjini hapa.
Tukio hilo lilitokea Jumamosi ya wiki iliyopita baada ya Mwajuma
Bakari Tindwa mwenye umri wa miaka 52, mkazi wa Mwembesongo kumleta
mganga huyo, Omar Ally ili amrudishe mtoto Omar Abdul Matenda (10),
mwanafunzi wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Uhuru, aliyepotea
Juni 8, mwaka huu.
Mwajuma aliliambia gazeti hili kuwa mwanaye alipotea katika mazingira
ya kutatanisha na kwa zaidi ya wiki tatu, wamekuwa wakimtafuta bila
mafanikio.
SH. MIL. 60 KUMALIZA MGOGORO WA MBASHA
Stori: Haruni Sanchawa na Shakoor Jongo HABARI
zilizotua kwenye meza ya Uwazi juzi zinadai kuwa familia mbili, ya
Emmanuel na Flora Mbasha zimeweka kikao kwa siku tatu mfululizo kutaka
kuinusuru ndoa ya wawili hao lakini imeshindikana huku pembeni ikidaiwa
kwamba ili mambo yakae sawa lazima Mbasha alipe shilingi milioni 60.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, kikao hicho kiliitishwa na baba wa Mbasha kwa kushirikiana na ndugu wengine wa pande zote mbili.
“Mbasha na mke wake, Flora walikutanishwa sehemu fulani jijini Dar es
Salaam kwa ajili ya kupatanishwa. Kikao kilikuwa kizito, wakubwa wa
familia zote walikuwepo lakini Flora alikataa mara tano kurudi kwenye
ndoa yake.
Monday, June 23, 2014
MAJAMBAZI YAMUUA SISTA, YATOKOMEA NA MKOBA

HALI
ya hewa imechafuka kwa wakazi wa eneo la Ubungo-Darajani karibu na
River Side baada ya majambazi kumuua Sista wa Parokia ya Makoka-Mwisho
aliyefahamika kwa jina moja la Kapuli na kisha kumjeruhi dereva wa gari
na kutokomea na mkoba wa marehemu kusikojulikana.
Tukio
hilo la kinyama limetokea majira ya saa 7 na nusu leo mchana wakati
sista huyo aliyekuwa na dereva wakitokea benki kufika eneo hilo kwa
lengo la kununua mahitaji muhimu.
Shuhuda
wa tukio hilo ambaye ni dereva wa gari aliyefahamika kwa jina la Mark
Patrick Mwarabu alisema kuwa marehemu alishangaa kuona amezungukwa na
watu watatu waliokuwa wameshuka kwenye pikipiki aina ya Boxer na
kumfuata kisha kumpiga risasi kadhaa.
Aliongeza
kuwa, marehemu alikuwa ameenda kulipia pesa kwa ajili ya kununua mchele
kwenye duka moja la nafaka kabla ya kuvamiwa na majambazi hao
waliompiga risasi na kutokomea na mkoba wake huku wakimpiga risasi
dereva huyo kidoleni.
(HABARI/PICHA: Deogratius Mongela / GPL)
JINI KABULA, ISABELA WAMALIZA BIFU
PEACE! Baada ya wasanii wawili waliokuwa wanaunda
Kundi la Scorpion Girls, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ na Isabela Mpanda
kuwa kwenye bifu kwa miezi kadhaa, hatimaye wamepatana.
Wasanii
wawili waliokuwa wanaunda Kundi la Scorpion Girls, Miriamu Jolwa ‘Jini
Kabula’ na Isabela Mpanda wakiwa kwenye picha ya pamoja.
chanzo makini ambacho ni rafiki wa karibu na wasanii hao kikizungumza
kilisema, wawili hao kwa sasa wamerudisha urafiki wao kama zamani na
wamemaliza bifu lao kwani walikuwa hawaongei wala kupeana salamu.
Baada ya kuzinyaka habari hizo, paparazi wetu aliwatafuta, wasikie:
“Kugombana ni kitu cha kawaida hata kama ni ndugu, Isabela ni kama ndugu
yangu tulipishana kauli, tumemaliza tofauti,” alisema Jini Kabula huku
mwenzake akimalizia:
“Binadamu tunapishana na kupatana, tumeshapata, tunaganga yajayo.”
Jennifer Lopez Ajiachia Na Dancer Maksim
ALGERIA YANUSA 16 BORA KOMBE LA DUNIA BAADA YA KUWACHAPA KOREA 4-2
EMMANUEL MBASHA ALIZWA HATI ZA NYUMBA, VIWANJA

MAJANGA! Siku chache baada ya kuachiwa kwa dhamana katika kesi ya kudaiwa kumbaka shemejiye, mwimbaji wa Injili na mfanyabiashara Bongo, Emmanuel Mbasha amedaiwa kuibiwa hati za nyumba na viwanja.
Chanzo makini kilichomo ndani ya familia, kimedai kuwa mara baada ya Mbasha kujitokeza na kuwekwa mahabusu Juni 17, mwaka huu, mtu asiyejulikana alikwenda nyumbani kwa mfanyabiashara huyo, Tabata-Kimanga, Dar na kukwapua hati za nyumba na viwanja mbalimbali anavyovimiliki.
FRIENDS OF SIMBA: WABAYA WA KILA JAMBO, DAWA YA MWENDO SIMBA
Na Saleh Ally
NILIWAHI kuzungumzia kuhusiana na Coastal Union kuachana na malumbano yasiyokuwa na sababu dhidi ya aliyekuwa mdhamini wao, Nassor Bin Slum ambaye ni mnazi mkubwa wa timu hiyo.
NILIWAHI kuzungumzia kuhusiana na Coastal Union kuachana na malumbano yasiyokuwa na sababu dhidi ya aliyekuwa mdhamini wao, Nassor Bin Slum ambaye ni mnazi mkubwa wa timu hiyo.
Azim Dewji.
Mwisho Bin Slum ameondoka na kuamua kufanya mambo yake kibiashara
zaidi, sasa kampuni yake kupitia matairi na betri za magari, inadhamini
timu tatu za Ligi Kuu Bara ambazo ni Mbeya City, Stand United na Ndanda
FC. Coastal wameanza kupitisha harambee kuweka mambo yao sawa!
Subscribe to:
Posts (Atom)
HABARI MBALIMBALI
‘Dk. Cheni’
‘Sharo Milionea
‘Thea’
African Women
AGNESS MASOGANGE
AK CLASSIC COSMETICS
ALI KIBA
Amanda Poshy
Ant
ANT LULU
Ashley Toto
Aunt Ezekiel
Aunty Ezekiel
AUNTY LULU
Azam Fc
Baby Madaha
BAHATI BUKUKU
Barnaba
BATULI
BBA
Beauty of the day
Belle 9
BI KIDUDE
BIBI BOMBA
Big Brother
Big Brother Africa
Bill Gates
BINTI KIZIWI
BOB JUNIOR
Bodi ya Filamu
Bongo Movie
Bongo Movies
CCM
CHADEMA
Chombezo
Christina Shusho
Chuchu hans.
Clouds Media Group
Club Bilicanas
DAR LIVE
DAVINA
Dayna Nyange
Diamond
Dida
Diva Loveness Love
Dj Ommy Crazy wa Maisha Club
DOGO JANJA
DOKI
DR.CHENI
DSTV
Dude
Dully Sykes
EBSS 2013
Elizabeth Michael
Epiq Bongo Star Search (EBSS)
ESHA BUHETI
Ester Bulaya
Feza Kessy
FIESTA 2014
Flaviana Matata
FLORA MBASHA
FLORA MVUNGI
Francis Cheka
GARDNER
GLOAL PUBLISHERS
GLOBAL TV ONLINE
H. BABA
Halima Mdee
HAMISA
Happy birthday
Hemedi
Hemedy Suleiman
HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE
Hoyce Temu
Huddah Monroe
HUSINA
IRENE PAUL
Irene Uyoya
ISABELLA
J film 4 life
Jack Chuz
JACK PATRICK
Jacob Steven ‘JB’
Jacqueline Dustan
JACQUELINE WOLPER
Jaji Khamis 'Kashi'
Jay Dee
JENNIFER KYAKA (ODAMA)
JIDE
JINI KABULA
JK
JO
Johari
Jokate Mwigelo ‘Kidot’.
JOTI
Joyce Kiria
Joyce Kiwia
JUX
K-LYNN
KADINDA
kaja
Kajala Masanja
Kapotive Star Singers
KATUNI
Kemmy
Kero Zetu
KHADIJA OMAR KOPA
KIKWETUKWETU
KILI MUSIC AWARDS
KOLETA
Lady Jay Dee
Lady Jaydee
Lake Oil
LAVEDA
Linah Sanga
Linex
Lisa Jensen
Loveness Diva
Lucy Francis Komba
Lulu
M2 The P
MABILIONEA
Madam Rita
MADELA
Magazeti
Mahusiano
Maimartha Jesse
MAINDA
MAISHA
Makala
Malkia Elizabeth
MAMTEI
MANDELA
MARIAM ISMAIL
Masanja Mkandamizaji
Mashindano ya Miss Tanzania
Matangazo
Matonya
MaxMalipo
MAYA
MELLIS EDWARD
MENINAH
MGOSI MKOLONI
Mh Halima Mdee
mic
Michezo
MILLEN HAPPINESS MAGESE
MISS CHANG'OMBE
MISS DAR CITY CENTER
Miss East Africa
MISS REDD'S IRINGA 2013
MISS TANGA 2013.
MISS TANZANIA 2014
Miss Tanzania mwaka 2011
MISS TEMEKE 2014
MISS USTAWI
MISS UTALII TANZANIA 2012/13
Miss vyuo vikuu 2013
MKALA
MREMBO HUDDAH
Mrisho Mpoto
Mrisho Ngassa
MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES.
MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013
Mtitu
muziki
Mwana FA
MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Mzee Majuto
Nancy Sumari
Nani Mtani Jembe?
NAPE
Nassoro ‘Nora’
Natasha
Nay wa Mitego
Necta
Nelly Kamwelu
NEY WA MITEGO
Nisha
NSSF;Zantel
Nyamwela
NYimbo
Nyota yako
OBAMA TANZANIA
OMMY DIMPOZ
P FUNK
PAM D
Peniel Mgilwa ‘Penny’
PETIT MAN
Profesa Jay
Q - CHILA
Q Boy
Q Chilla
QUEEN DARLEEN
RACHEL NDAUKA
RAIS KIKWETE
Rais Kikwete.
Rasimu Ya Katiba TZ
Ray
Ray C
Redd’s Miss IFM
REDD'S MISS KAGERA 2013
REDD'S MISS TZ
REDDS MISS TANZANIA 2014
Redds Miss wa Mikoa
REHEMA FABIAN
RICHIE RICHIE
Rihanna
ROSE MUHANDO
Rose Ndauka
Ruge Mutahaba.
SABASABA 2013
Saida Karoli
Saikolojia
Sajeti
SAJUKI
Sandra
SHAA
Shamsa Ford
Sheikh Ponda
Shilole
Sintah
Siwema
Skin Tricks
Snura Mushi
Spika Makinda
staa
Staa Wetu
Stella Mwangi
STYLE ZA NYWELE
Taifa Stars
Tamasha la matumaini
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013
Tangazo
TANZANIA
TEGO
TENGENEZA WEBSITE NA BLOG
TID
Tundaman
Tupo wangapi?
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Twanga Pepeta
USA PAGEANT 2014
VAI
Wastara
WEMA
WEMA SEPETU
Yanga
Yanga Bingwa 2013
YOUNG D
Yvonne Cherry ‘Monalisa’
Z Anton.
Zari
Zito kabwe








