Mkuu
wa Wilaya ya Morogoro, Saidi Amanzi (kushoto) akikata utepe kuzindua
rasmi kisima kipya kilichochindwa kwa msaada wa Kampuni ya Bia Tanzania
(TBL), kwa gharama ya sh. mil. 25, kwa ajili ya Hospitali ya Rufaa ya
Mkoa wa Morogoro, wakati wa hafla iliyofanyika hospitalini hapo.Kulia
ni Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa TBL, Steve Kilindo ambaye
alikabidhi kisima hicho. Katikati ni Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo, Dk.
Jofrey Mtei.
Mkuu
wa Wilaya ya Morogoro, Saidi Amanzi (kushoto) akifungua maji kutoka
katika bomba mara baada ya kuzindua kisima kipya kilichochindwa kwa
msaada wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kwa gharama ya sh. mil. 25,
kwa ajili ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro, wakati wa hafla
iliyofanyika hospitalini hapo. Anayenawa ni Mkurugenzi wa Uhusiano na
Sheria wa TBL, Steve Kilindo ambaye alikabidhi kisima hicho.
No comments:
Post a Comment