EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Monday, July 16, 2012

`Bunge limewasahau wananchi`

Paroko wa Kanisa Katoliki la Kiwanja cha Ndege, mjini Dodoma, Padre Luyembe Sosthenes, amesema wanaotafakari kwa kina mijadala ya Bunge, wanaona kwamba mwananchi anachukua nafasi ya tatu ama hayupo kabisa katika mijadala hiyo.

Aidha, alionyesha kukerwa na neno kambi ya Upinzani, ambalo alisema linaathari katika jamii kwa kuwa lugha huumba. Aliyasema hayo wakati wa mahubiri yake, katika misa ya kwanza aliyoiendesha katika Parokia hiyo, mjini Dodoma.
“Wanaoitafakari kwa kina mijadala ya Bunge mnaweza kuona kwamba mwananchi Mtanzania anachukua nafasi ya tatu au hayupo kabisa kwenye mijadala ya Bunge badala ya yeye kuwa lengo kuu kwa sababu ya mtazamo huo wa wao na sisi,” alisema.

Alitaka kila mmoja kuwa tayari kumsikiliza mwenzake kuthamini na kutaka kuelewa ni namna gani walifikia tafakari hiyo ilikujenga heshima na utu.
Alitolewa mfano wakati mwingine mbunge anatoa hoja yake baadhi huibuka na kumzomea bila ya kumsikiliza nini anachotaka kukiongea.
Kuhusu neno Kambi ya Upinzani, ambalo limekuwa likitumiwa kutenganisha serikali na vyama visivyotawala, Paroko Luyembe alisema neno hilo limekuwa na uhalisia unaoathiri maisha ya kila Mtanzania.

“Naona ugumu kuelewa kuwa kama ni utawala wa watu na uongozi shirikishi na kama watu wote wanashirikishwa then tuongelee kuwa kuna upinzani…Haiingii akilini.”alisema na kuongeza kuwa:
“Upinzani unajitokeza palipo na uvunjwaji wa haki za biandamu. Lakini kama kuna kuheshimu haki za binadamu na utu wa kila mtu, sijui kama kutakuwa na Upinzani.
Alisema katika mgawanyo wa somo la falsafa ya lugha, kuna uchunguzi wa vitu vinne vinavyozingatiwa ambavyo ni uasili wa maana ya neno, matumizi ya lugha, utambuzi wa lugha na uhusiano wa lugha na ukweli lengo kuu ikiwa ni kupata mantiki ya matumizi ya lugha au neno.
Alitaka Watanzania kufikiri neno jingine ambalo litajenga umoja wa kitanzania na kuepusha athari katika jamii.
Via 

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate