
Baada ya kufanikiwa kuiwezesha Simba SC
kunyakua ubingwa wa ligi kuu ya Tanzania, striker mwenye kutupia jersey
namba 25 yaonekana sasa yuko in love with Sintah who used to be Juma
Nature's girlfriend.
Kwa taarifa yako ni kuwa penzi la Emanuel Okwi na Christine John "Sinta" who proclamed herself as JLO wa Bongo liko wazi wazi hakuna cha kuficha even followers wa twosome hawa kwenye Twitter knows bout this.
"OMG! nani kawaambieni uwa mie na-date na Sintah? she use to be my close friend toka akisoma nchini kwetu UG, but is there any problem kama nikiwa na mahusiano ya kimapenzi nae?" aliuliza Okwi ambaye kwa sasa yupo Austria baada ya kutwangiwa phone na Mwandishi wa Baabkubwa.
Lakini side B kwa Sintah ambaye kwa sasa ni co-host wa show iitwayo "Hatua Tatu" alongside Steve Nyerere at Times FM ilikuwa hivi, "Jamani Okwi ni mshakaji wangu wa karibu, nilikuwa karibu nae toka na-xul Uganda but tukapotezana baada ya yeye kwenda kucheza Rwanda ambapo hivi majuzi mwenyewe ndio kanitafuta akitaka kunijulia hali"- alitok Sintah.
Haikupita dakika kadhaa, Sintah called back asking about alichokisema Okwi, "Jamani simniambie amesemaje nifurahi jamani, niambieni kama kasema ananipenda au kama kanikana jamani?"
Okwi uko tayari kutunga nyimbo kama alivyofanya Nature?
Kwa taarifa yako ni kuwa penzi la Emanuel Okwi na Christine John "Sinta" who proclamed herself as JLO wa Bongo liko wazi wazi hakuna cha kuficha even followers wa twosome hawa kwenye Twitter knows bout this.
"OMG! nani kawaambieni uwa mie na-date na Sintah? she use to be my close friend toka akisoma nchini kwetu UG, but is there any problem kama nikiwa na mahusiano ya kimapenzi nae?" aliuliza Okwi ambaye kwa sasa yupo Austria baada ya kutwangiwa phone na Mwandishi wa Baabkubwa.
Lakini side B kwa Sintah ambaye kwa sasa ni co-host wa show iitwayo "Hatua Tatu" alongside Steve Nyerere at Times FM ilikuwa hivi, "Jamani Okwi ni mshakaji wangu wa karibu, nilikuwa karibu nae toka na-xul Uganda but tukapotezana baada ya yeye kwenda kucheza Rwanda ambapo hivi majuzi mwenyewe ndio kanitafuta akitaka kunijulia hali"- alitok Sintah.
Haikupita dakika kadhaa, Sintah called back asking about alichokisema Okwi, "Jamani simniambie amesemaje nifurahi jamani, niambieni kama kasema ananipenda au kama kanikana jamani?"
Okwi uko tayari kutunga nyimbo kama alivyofanya Nature?
Source:www.baabkubwamagazine.com
No comments:
Post a Comment