EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Wednesday, July 18, 2012

Uingereza yakiri dhulma dhidi ya Mau Mau


Mashujaa wa Mau Mau wakidai kudhulumiwa na uliokuwa Ukoloni wa Uingereza
Kwa mara ya kwanza katika historia yake, Serikali ya Uingereza imekiri kwamba uliokua ukoloni wa Uingereza nchini Kenya ulitekeleza dhuluma za kibinadamu dhidi ya raia waliozuiliwa katika kambi zilizotengwa kuwaadhibu wanachama wa vugu vugu la Mau Mau ambalo liliendesha harakati za kudai uhuru wa Kenya.

Dhuluma hizi zilifanyika baada ya kutangazwa hali ya hatari nchini Kenya mwaka wa 1952.
Hatua ya sasa inafuatia ombi la mashujaa wa uhuru wa Kenya ambao wanataka mahakama kuu ya Uingereza kuamua ikiwa wana haki ya kufungua kesi dhidi ya serikali kutokana na dhuluma zilizotekelezwa na ukoloni huo.

Wapiganaji hao wa zamani wanadai kupata madhara makubwa wakati wa harakati hizo, wakisema mbele ya Mahakama Kuu ya Uingereza kuwa waliteswa.
Wanasheria wa wapiganaji hao wa zamani wa Mau Mau wanasema hii ni mara ya kwanza serikali ya Uingereza kukiri madai hayo.
Wakili wa serikali ya Uingereza, Guy Mansfield, amesema asingependa kupinga kwamba raia waliteswa na kufanyiwa madhila mengine wakati wa utawala wa kikoloni.

Hata hivyo serikali ya Uingereza inateta kuwa muda mwingi umepita na kwamba ikiwa kesi itafungulkiwa huenda kesi ikasikilizwa katika mazingira yasiyo ya haki.
Mnamo mwaka 2011, wakili wa mahakama kuu aliamua kuwa waathiriwa hao, Paulo Muoka Nzili, Wambuga Wa Nyingi na Jane Muthoni Mara wana hjoja nzitro ambayo lazima isikilizwe.
Mwakili wao wanadi kuwa bwana Nzili alihasiwa , huku bwana Nyingi akicahapwa vibayabwakati huku Bi Mara akibakwa katiak tukio baya zaidi la udahalilishaji wa kingono wakati wakizuiliwa katika kambi.

Mwathirika wa nne Ndiku Mutwiwa Mutua, tayari amefariki. Kifo chake kilitokea katika kipindi ambacho mahakama iliamua kuwa kesi yao ingeweza kuendelewa.
Kwa usaidizi wa wakalimani katika mahakama kuu, watatu hao wenye kati ya umri wa miaka 70 na 80, walihojiwa kwa muda mfupi, kuhusu ushahidi wao.
"katika miaka ya kabla ya uhuru wa Kenya,. Watu walichapwa , ardhi yao ikaibiwa na wanawake wakabakwa huku wanaume wakihasiwa pamoja na watoto wao kuuliwa" alisema Wambugu Wa Nyingi Kenyan Mau Mau claimant

Katika taarifa yao yanye kurasa 20, bwana Nzili, mwenye umri wa miaka 85,alitoa maelezo kuhusu namna alivyonyanyaswa na kuvuliwa nguo , kufungwa mnyororo na kisha akahasiwa kwa koleo kubwa ambazo hutumiwa kuhasi ng'ombe katika kambi moja ya wafungwa mtaa wa Embakasi viungani mwa Nairobi.
"nilihisi kuachwa bila matumaini yoyote. Sijawahi kupata watoto na sitawahi kupata hata mtoto mmoja.Pia siwezi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mkwe wangu alisema Nzili"

Bi Mara, naye mwenye umri wa miaka 73, alitoa ushahidi wake kuonyesha ambavyo alifanyiwa alipokuwa na umri wa miaka 15, alipelekwa katika kambi ya wafungwa ya Gatithi ambako alichapwa na waingereza na kisha kudhulumiwa kingono kwa kutumia chupa ya maji moto.
Alisema kuwa alihisi kudhulumiwa vibaya sana na kuachwa na uchungu mkubwa na kuwa uhuchungu huo umezidi na umri wake.
"Sielewi kwa nini nilifanyiwa hivyo kwa sababu tu ya kuwapelekea Mau Mau chakula." alihoji bi Mara.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate