EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Thursday, August 9, 2012

NDOA YA JACK PATRICK CHALI

Imelda Mtema na Shakoor Jongo
KWA mujibu wa chanzo makini ambacho ni mtu wa karibu wa wanandoa hao, ndoa hiyo ilisambaratika mara tu baada ya mume wa Jack kuswekwa rumande Keko, Dar kwa tuhuma za usafirishaji wa mihadarati.
UTATA WA CHANZO
Chanzo hicho kilitiririka kuwa ndoa hiyo inadaiwa kupigwa bomu na kusambaratika kutokana na mambo ambayo yanaendelea kati ya wanandoa hao.
Kilidai kuwa tangu Tiff awekwe nyuma ya nondo, ndipo mambo yalipokwenda kombo kutokana na  kitendo hicho kumuumiza Jack.
JACK KUSHANGAZA WATU
Baada ya madai hayo mazito kutua kwenye dawati la Amani, waandishi wetu walimtafuta Jack na kumuuliza kama ni kweli ndoa yake imevunjika ambapo hakutaka kuzungumza chochote ila alipobanwa zaidi akadai kuwa siku mumewe akitoka ndiyo atatoboa mambo mazito yatakayowashangaza watu wengi juu ya ndoa yake.

SHANGAZI
Amani lilimsaka shangazi wa Tiff ambaye aliomba hifadhi ya jina kwa kuogopa kufanyiwa fujo na wawili hao pindi jamaa atakapotoka mahabusu ambaye alisema kuwa matatizo hayo yote yaliyomtokea Tiff aliyataka mwenyewe kwani Jack alikubali kuolewa kufuata fedha na si kwa mapenzi.

SHANGAZI ANATIRIRIKA
“Haiwezekani mtu akataka kufunga ndoa na wewe halafu unampa masharti kuwa huhitaji michango kwenye harusi yako na kudai unataka ndoa yako iwe ya kifahari, hapo kuna ndoa kweli? Matokeo yake Tiff kapata matatizo na wa kumhurumia hakuna,” alisema shangazi huyo na kuongeza:
“Tulijua mapema tu kuwa pale hamna ndoa. Cha msingi Tiff atamke tu wazi kuwa hakuna ndoa ndipo tujitokeze.”

TIFF
Wiki mbili zilizopita, Tiff aliliambia gazeti ndugu la hili, Ijumaa Wikienda kuwa ni kweli tangu atiwe mbaroni Jack hajawahi kwenda kumuona mahabusu.

ILIGHARIMU SH. MILIONI 75
Jack na Tiff walifunga ndoa ya kifahari kwenye Ufukwe wa Coral Masaki, Dar na kufuatiwa na sherehe kubwa kwenye Ukumbi wa Hoteli ya The Hyatt Regency Dar es Salaam, The Kilimanjaro (zamani Kilimanjaro Kempinsk), na kugharimu Sh. milioni 75, bila mchango kutoka kwa mtu yeyote.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate