EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Friday, November 16, 2012

EDWARD LOWASSA, CHADEMA SIRI NZITO.

Na Mwandishi Wetu
YAPO madai kwamba, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeshikilia makombora mazito ya kashfa ya Waziri Mkuu aliyestaafu, Mheshimiwa Edward Lowassa na kwamba chama hicho cha siasa kinamtegea jambo kiongozi huyo wa zamani wa serikali.

 
Waziri Mkuu aliyestaafu, Mheshimiwa Edward Lowassa.
Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kwamba, Chadema kimekuwa kikimchimba kwa siri Lowassa kwa kukusanya tuhuma zake nzito watakazozilipua pindi CCM itakapompitisha mheshimiwa huyo kuwa mgombea urais.
Hata hivyo, licha ya Chadema kutega walichotega, Lowassa ambaye ni Mbunge wa Monduli hata mara moja hajawahi kutamka hadharani kwamba atagombea urais kupitia CCM mwaka huo.
Habari za uchunguzi zinadai kwamba tayari Chadema kina mabomu kadhaa ambayo hawataki kuyafyatua dhidi ya Lowassa na ndiyo maana hakuna hata siku moja ambayo viongozi wa chama hicho wamemshukia Lowassa kama wanavyofanya kwa viongozi wengine wa CCM.
 
Mwenyekiti wa Chadema, Mheshimiwa Freeman Mbowe.
Uchunguzi ukazidi kudai kuwa Chadema ambayo ipo chini ya mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, imekuwa ikiomba kila kukicha chama tawala kimpitishe Lowassa ikiamini kwako atakuwa kibonde kwenye uchaguzi huo.
 “Sisi Chadema tumekuwa kimya kuhusu Lowassa kwa muda mrefu siyo kwamba tunamuogopa au tunataka aje katika chama chetu, ukweli ni kwamba mabomu yake tunayo, tunasubiri uchaguzi mkuu. Tukifanya hivyo sasa, wakati ukifika tutapigana vipi?” alisema kiongozi mmoja wa Chadema ambaye hakutaka kutajwa jina lake gazetini.
Wakati hali Chadema ikiwa hivyo, kuna habari kwamba, Lowassa naye ana makombora ya viongozi wa chama hicho akisubiri wakati wa kuyalipua.
Hata hivyo, hakuna kiongozi hata mmoja wa Chadema ambaye alikuwa tayari kusema bomu japo moja la Lowassa ambaye wachunguzi wa mambo wanasema kama ataamua kugombea atapeta katika Halmashauri Kuu ya CCM kwa kuwa ana wafuasi wengi wanaomkubali.
                          CHANZO CHA HABARI NA GLOBAL PUBLISHERS.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate