EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Tuesday, November 20, 2012

MAISHA PLUS: Watatu waondoka kijijini.

JUZI ilikuwa ni siku chungu kwa washiriki watatu wa Kijiji cha Maisha Plus, baada ya kuondolewa kutokana na kupata kura chache za kuwawezesha kuendelea kubaki.
Waliokumbwa ni washiriki Magreth Msechu wa Mbeya, Saad Mohamed Kilimanjaro na Hidaya Shaban kutoka Zanzibar.
 
Washiriki hao, ambao hawakuamini kama ndio ulikuwa mwisho wao wa kuwania kitita cha sh milioni 20 za shindano hilo, walipata nafasi ya kuzungumza kabla ya kuondoka.
Magreth na Hidaya, walipongeza hatua waliyofikia lakini kwa upande wa Saad, alishindwa kuzungumza lolote.
Kabla ya kutolewa washiriki hao, washiriki wengine waliokuwa kwenye hatari hiyo ni Rashid Ndunduke, Bahati Kisula, Dorah Mhando, Swaumu Shabani, Tatu Masoud, Gabriel Lwinga na Jonathan Joachim.

Nelly: Nimejifunza mengi
MSHIRIKI wa Kijiji cha Maisha Plus, Nelly Niyonhuru kutoka Burundi, juzi alifunguka kwa kusema tangu afike kijijini humo amejifunza mengi ikiwamo kuishi na watu wa makabila tofauti, ambapo kuna makabila makuu matatu.
Nelly alisema, amejifunza kuteka maji kisimani, kupika chakula kwa kutumia jiko la kuni na kulima, ambavyo hakuweza kufanya katika maisha yake.
Mbali na Nelly, washiriki wengine nao walisema wamejifunza elimu za ujasiriamali na uchongaji wa vitu ndani ya kijiji hicho.
Wanakijiji hao walisema, watakwenda kuifanyia kazi elimu waliyoipata, hata watakapotoka ndani ya shindano hilo.

Vitu vyapotea dukani
WASHIRIKI 18 waliobakia ndani ya Kijiji cha Maisha Plus, wameanza kujawa na hofu baada ya duka la Kijiji, kuondolewa vitu vyote muhimu ukiwamo mchele, sukari, unga wa ngano na sembe.
Wanakijiji hao walipigwa butwaa kwa tukio hilo na kila mmoja hajui nini kitafuata.
Aidha, Jaji Mkuu wa Maisha Plus, Masoud Kipanya, atakuwa akitoa kazi maalumu kwa washiriki hao hadi siku ya mwisho.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate