EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Tuesday, November 20, 2012

UONGOZI wa klabu ya Simba umevunja rasmi mkataba wa Kocha wake mkuu, Mserbia Milovan Cirkovic na tayari amefungasha virago kurejea kwao.

Cirkovic, ameondoka nchini juzi usiku, kurujea kwao Serbia, baada ya kumalizana na uongozi wa klabu hiyo.Habari za uhakika kutoka ndani ya klabu hiyo zinaeleza kuwa, kocha huyo hatarejea tena nchini kuionoa Simba, kwani imeishavunja naye mkataba.
 
“Milovan aliingia mkataba wa miaka miwili kukinoa kikosi cha Simba Juni mwaka huu na katika masharti ya mkataba wake, yule atakayesitisha mkataba anapaswa kuulipa upande athirika mshahara wa mwezi mmoja mbele, hivyo uongozi wa Simba tayari umemalizana naye,” kilisema chanzo hicho huku kikigoma kubainisha sababu za kutemwa kwa Kocha huyo, aliyeipa Simba mafanikio haraka haraka ikiwamo kutwaa ubingwa wa Bara.

Mtoa habari huyo, ambaye aliomba jina lihifadhiwa, alibainisha kuwa, katika kikao cha Kamati ya Utendaji ya Simba kilichofanyika wiki iliyopita, kiliamua kuwateuwa Talib Hilal kuwa Kocha Mkuu na Jamhuri Kihwelu ‘Julio Alberto’ kukamata nafasi ya Meneja.
Hata hivyo, Julio alipoulizwa kuhusiana na uteuzi huo, alisema anasikia tu, ila hajapewa barua rasmi.
Julio alisema kuwa, hata hivyo hawezi kukubali kuifundisha klabu hiyo hadi atakapokaa na uongozi wa Simba kuupitia mkataba wake.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, alithibitisha kuondoka kwa Cirkovic, lakini akidai amekwenda kupumzika.
"Tayari Kocha Milovan amekabidhi taarifa yake ya mzunguko wa kwanza wa ligi na ameshaondoka kwenda kusalimia familia yake nchini Serbia, "alisema Rage huku akishindwa kuweka wazi kama atarejea ama ndo moja kwa moja.
Simba imemaliza mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Bara ikiwa nafasi ya tatu, baada ya kujikusanyia pointi 23 ikiwanguliwa na Azam FC pointi 24 na Yanga pointi 29.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate