
Katika filamu hiyo inayoshirikisha pia wasanii wengine wakali kama vile ‘Jengua’, ‘Msisiri’ na ‘Kipupwe’, kama kawaida yake, Bi Mwendaaliyetumia jina la ‘Nyampoke’ ameonesha unyama mkubwa kwa kuua watu ovyo na kula nyama zao.
“Kiukweli, awali nilivyofuatwa kucheza uhusika wa kichawi katika filamu hiyo, nilikataa katakata, lakini waandaaji wake waliniomba sana na kuniambia kuwa, wengi wameshindwa kucheza,” alisema Bi Mwenda.
Hata hivyo, Bi Mwenda alisema kuwa, ‘Mkasa’ ni kati ya filamu ambayo anaamini itazidi kumpandisha chati.
No comments:
Post a Comment