EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Friday, May 31, 2013

Yanga yaongezewa mamilioni na Kilimanjaro Premium Lager, imewazadia sh milioni 25.

KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), kupitia kinywaji chake cha Kilimanjaro Premium Lager, imewazadia sh milioni 25 mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, kwa kutwaa taji hilo.
Mbali na zawadi hiyo ya TBL, Yanga ilijihakikishia kitita cha sh milioni 70 kutoka kwa wadhamini wakuu wa ligi hiyo, kampuni ya simu za mikononi ya Vodacom, kwa kuibuka mabingwa.

Akizungumza katika hafla ya kukabidhi hundi hiyo, Meneja wa bia ya Kilimanjaro, George Kavishe, alisema kwamba zawadi hiyo ni sehemu ya ahadi ya udhamini wao kwa timu itakayoshinda au kushika nafasi za juu.

“Kama wadhamini wa klabu kongwe za Yanga na Simba, tuliahidi kutoa sh milioni 25 kwa timu itakayotwaa ubingwa wa Ligi Kuu na sh milioni 15 kwa timu itakayoshika nafasi ya pili, hivyo kutokana na Yanga kutwaa ubingwa ndio tunaikabidhi fedha hizi,” alisema.
Kavishe aliongeza kuwa zawadi hiyo ni sehemu ya sh bilioni 1.5 za udhamini wa Kilimanjaro Premium Lager kwa Yanga na imetolewa kwa lengo la kuhamasisha klabu kujitahidi kwa kushinda zaidi na kusaidia katika maandalizi yake kwa ajili ya mashindano ya kimataifa.

“Na tulifanya hivi makusudi ili kuleta ushindani kwa timu hizi za Simba na Yanga, ili ziweze kufanya vema kwenye ligi hiyo ambayo imekuwa na ushindani mkubwa.
Yanga imekuwa ikicheza mpira mzuri kipindi chote cha msimu wa Ligi Kuu na hivyo kuibuka washindi.

Napenda kuwapongeza wachezaji, kocha na uongozi mzima wa Yanga kwa matokeo mazuri ya kushinda Ligi Kuu kwa mara ya 24 sasa,” alisema Kavishe.
Akipokea hundi hiyo, Katibu Mkuu wa Yanga, Lawrence Mwalusako, mbali ya kushukuru, 

alisema timu yao ni nzuri na yenye nguvu kutokana na uongozi imara, pamoja na udhamini wa Kilimanjaro Premium Lager.
“Mafanikio yetu ya uwanjani ni kielelezo cha mafanikio pia ya bia ya Kilimanjaro Premium Lager kwa ujumla, ambayo imekuwa ikitusaidia sana. Bia hii imetoa mchango mkubwa sana katika kuipa timu msukumo uliopelekea mafanikio haya,” alisema.
Kwa ubingwa huo, Yanga itaiwakilisha Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika mwakani, pamoja na michuano ya Kombe la Kagame, ambalo ni mabingwa watetezi.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate