









Ney Lee.


B12 ndio alikua host wa show nzima


Hii picha hapa juu ni upande wa kushoto mwa stage







Juma Nature alikuepo pia

Young Killer wa Mwanza Mwanza






Rich Mavoco

R.I.P kwa wote waliotutangulia kama Langa, Sharo Milionea na Ngwair.

Cassim Mganga

Mwana FA na Ay.

J Martins kutoka Nigeria alikuepo pia… hapa ni wakati alipoamua kumzawadia huyu mtoto cheni aliyokua amevaa pamoja na pesa za kitanzania.



Ay, J Martins na Mwana FA wakicheza bila kukunja goti.

Dully Sykes ni miongoni mwa waliofanya kazi nzuri sana yani…

Maunda Zorro CREDITMillardayo.com
No comments:
Post a Comment