EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Wednesday, November 27, 2013

KINA KAKA WAPENI RAHA WAPENZI WENU SI KARAHA

 
AMANI hamjambo? Kama ada tumekutana kwenye kona yangu Naa miye, nina imani msemaji ni mmoja siku zote, mshereheshaji  akizungumza wote mnakuwa wasikilizaji mpaka atakapotoa ruhusa. Hapo ndipo nilipokuwa napataka, baada ya kuwa kimya sasa nisikilizeni nataka kuzungumza nini.

Leo sitakuwa mzungumzaji bali kumkaribisha mzee mwenzangu Babu Poa, ambaye mlimmisi muda mrefu. Mzee mwenzangu alikuwa katika honeymoon, mwenzenu na utu uzima wake kaongeza mke wa nne, safari hii kaoa mtoto mbichiii utamwambia nini?

Nina imani amerudi na mambo mapya hasa baada ya kusoma mada yangu ya wiki jana niliyozungumzia kumpa mgonjwa dozi kamili na wala usizidishe kwa vile inaweza kuwa sumu itakayomdhuru.
Baada ya kuisoma mada yangu ya wiki jana, naye aliomba wiki hii akandamizie juu yake ili kuwapa wanaume elimu bure. Sikutaka kuwa mzungumzaji saana bali kumkaribisha mwenyewe, Babu Poa karibu.

“Asante Bi Nasra, sitaki kuzunguka sana bali kwenda kwenye kusudio la mimi kuwa hapa. Jamani leo nataka kugandamizia juu ya mada ya wiki jana, nina imani kila mmoja aliisoma na kuona jinsi wanaume wengi tunavyotumia  nguvu nyingi  katika tendo la ndoa bila akili na kulifanya kuwa mateso badala ya starehe.
 
 Siku zote mapenzi ni raha na mkimaliza mpeane asante na mabusu, siyo mwenzio kageukia ukutani huku kakunja uso na ugonjwa wa tumbo juu.

Wewe ukinyanyuka unajiona mwanaume kwa kumuumiza mwenzio hata, ukitaka tena hawezi kwa vile tayari ushamtia ugonjwa. Hebu tegeni sikio ili tuligeuze  tendo la ndoa burudani na si mateso. Leo nimeona kuna umuhimu wa kuwarudisha wanaume darasani ili tufanye wapenzi wetu wafurahie safari na mkifika mwisho kila mtu atue mzigo wake salama huku mkishangilia kwa raha ya safari.

Jamani  sote tunajua huwezi kuingia shambani na kuanza kulima bila kufanya maandalizi. Vivyo hivyo katika mapenzi. Hakika kabla ya kumuingilia mwenzio muandae kwa kuzigusa sehemu zenye kuleta msisimko ambazo hufanya akili na mwili kujiandaa kwa kufungua njia huku ukitengeneza ute ili mkikutana msiumizane wala kuchubuana.

Kama huzijui, mshike taratibu kwenye nyayo, chuchu kwenye pachipachi zote kichwani  kunyonya ndimi taratibu. Sehemu hizi ukizigusa  taratibu humtengeneza mwanamke na kuwa tayari kwa tendo.
Nini kinatakiwa kufuatwa baada ya hatua ya awali kutekelezwa kwa umakini? Si kingine ni tendo lenyewe.  Sehemu hii wengi tunaikosea kwa kutumia nguvu nyingi bila kujua urefu wa kina cha maji tunaingiza mguu.

Sehemu hii inataka akili nyingi na ufundi kuliko nguvu kwa vile unayefanya naye mapenzi ni mwanadamu siyo gogo hivyo inatakiwa  kutumia akili nyingi na nguvu kidogo. Hata katika mitindo ya mapenzi wakati wa tendo lazima tuyajue maumbile ya wenzetu kuliko kuwaumiza bila kujua.
Usimpinde mwenzio wakati ukijua maumbile yake mafupi  na yako marefu, kwa kufanya hivyo lazima utamletea matatizo ya tumbo hata kumsababishia kushindwa kuzaa.

Tunatakiwa tutumie mitindo yenye kuleta raha na si maumivu kama ilivyoelezwa na Anti Nasra wiki jana. Tukifanya hivyo lazima wapenzi wetu watafurahia  na kutamani tena na si kulichukia tendo hilo.
Kwa leo yangu yanatosha niwarudisheni kwa Anti Nasra amalizie.”
Asante Babu Poa nina imani kila kitu umekiweka wazi, jamani wanaume tupeni raha si karaha yangu kwa leo ni hayo tukutane wiki ijayo.
Ni mimi Anti Nasra, Shangingi Mstaafu. 

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate