EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, November 16, 2013

KITABU CHA SHIGONGO CHATUMIKA KUFUNDISHIA SHULENI


Kitabu cha Eric James Shigongokinachotumika kufundishia shuleni.
Kwa miaka mingi wanafunzi wa hapa nchini wamekuwa wakitumia vitabu vya watunzi mbalimbali ulimwenguni kama vile, The river between, Song of Lawino na vinginevyo hatimaye Shule ya Kimataifa ya Tanganyika  (International School of Tanganyika, IST) imekiingiza kwenye mtaala wake wa kiswahili, kitabu cha mtunzi mahiri wa riwaya hapa nchini, Eric James Shigongo kiitwacho kifo ni haki yangu.

Akizungumza na gazeti hili shuleni hapo hivi karibuni, Mwalimu wa somo la Kiswahili katika shule hiyo aliyejitambulisha kwa jina la Madam Hilda, alisema shule yake imeamua kutumia kitabu hicho kwenye mtaala wake baada ya kamati ya shule hiyo kukipitia kiundani na kubaini ubora wa hadithi zake zinazokwenda na wakati tuliopo pamoja na matumizi sanifu ya lugha ikiwemo mambo mengi ya kujifunza.  

Hilda alisema baada ya kuona umuhimu uliopo kwenye kitabu hicho shuleni hapo shule iliamua kumuita mtunzi huyo ambaye walimu na wanafunzi walikuwa na shauku ya kumuona ‘live’ badala ya kusoma riwaya zake kwenye vitabu.
 
Kufuatia wito huo, Shigongo alifika chuoni hapo na kukutana na wanafunzi wa shule hiyo ambao walimuuliza maswali mbalimbali yaliyokuwa yakiwatatiza kwenye riwaya.

Wanafunzio hao walimuomba Shigongo awafundishe mambo kadhaa kwenye utunzi wa riwaya ambapo walionekana kuyafurahia majibu waliyopewa ambayo yalionekana kuwaingia vyema akilini.

Baada ya kuwafundisha mambo mbalimbali wanafunzi hao walimshukuru Shigongo kwa kuwapa baraka za kutumia kitabu chake kwenye masomo yao na kuwapa fursa ya kuwapa ushauri muda wowote ambao watauhitaji.

Kufuatia wanafunzi hao kutumia kitabu hicho mitihani mbalimbali ya wanafunzi hao ikitoka kwenye kitabu hicho hivyo wanafunzi hao wanatakiwa kukichimba zaidi kitabu hicho.
Mbali na riwanya hiyo Shigongo aliwatafadhalisha wanafunzi hao kutobweteka na kutumia nguvu za wazazi wao kwani hawajui ya kesho na keshokutwa.

Aliwashauri wanafunzi hao kutokuwa kama wazazi wao kimaisha na kuwa zaidi ya wazazi wao yaani kama baba alikuwa mkuu wa wilaya mtoto anatakiwa kuwa waziri na kama baba alijenga ghorofa moja mtoto anatakiwa kuwa zaidi.
CHANZO NI GPL

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate